Katika Dunia ya leo hakuna mfanyakazi anayejitetea mwenyewe. Vyama vya wafanyakazi vilikuwepo enzi na enzi na matunda yake yanajulikana dunia nzima.
Mimi sio mwalimu lakini ni mdau wa CWT.
Walimu mnahitaji kutoa maoni yao kwa viongozi husika na kuelezea matatizo yao na viongozi wanawajibu wa...
Nape nimekuona, Nafurahi kuonesha wazi kuwa ndani ya chama kuna tatizo la kutosikiliza wananchi wanataka nini na hasa wakati wa chaguzi. Umeonesha wazi kuwa ulidhulumiwa nafasi ya kugombea ubunge UBUNGO. Lakini umekuwa mwepesi sana kusema kuwa Jimbo lilikuwa wazi kwa ajili yako. Umenishangaza...
Muda si mrefu kutakuwa na namba za magari kama T001 CCM, T005 CDM, T007 CCJ, T101 CUF na nyinginezo nyingi.
Je namba hizi hazitakuwa na ushawishi kisiasa kwa kuwa zimebeba m vifupisho vya vyama vya kisiasa?
Je ziruhusiwe kutumika au zinaweza kuondolewa kwenye mtiririko wa namba rasmi nchini...
Kwa mtanzania mwenye ufahamu, huu ni udhaifu wa washauri wanaokizunguka chama. Jambo lililoanzia bungeni ni bora lingeishia bungeni kuliko kupokonywa na chama. Udhaifu unakwenda kwa wabunge wa CCM kuwa hawawezi kutoa maamuzi dhidi ya serikali isipokuwa chama tu. Upinzani unanyanyuliwa kwa...
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Washington International University BA (Inter. Studies &Diplomacy) 2001 - GRADUATE
Johanesburg-South International Observers Course 1994 - CERTIFICATE
Moscow Leadership Course 1985 -...
Hakuna mtoto wa Nyerere aliyefia vitani, John ndiye aliyesomea urubani na kwa sasa tetesi zinasema yu mgonjwa yupo Dar es salaam. Ameathirika na uvutaji wa Bangi. Ukiwa Butiama anavuta barabarani kama sigara za kawaida.
Mtoto ameharibika mikononi mwa mama yake, alianza kwenda disko usiku mwaka 2009 ukiangalia vizuri utakuta alikuwa na umri wa miaka 14, kama aliwahi shule na miaka 7 ndio kwanza alikuwa form two . Umri hatarishi, kidato cha kupevuka. Inawezekana nguvu ya pesa ilitumika kumtumia vibaya mtoto...
Ni kweli kabisa. Angalia matokeo ya shule nzima ndipo utoe hatima ya mwanafunzi. Kama shule ilikuwa na Div 1,2 na 3
yeye akapata point 33, tungezungumza mengine. But, katika msukumo wa maisha ya sanaa anayoishi, nivigumu sana kuweza kupaform vizuri darasani hasa zinapokuwepo dili za kutosha...
Tusiwe warahisi sana kulaumu juu ya malezi ya mwanae. Uhusiano wa mama na baba unachangia kwa kiasi kikubwa
malezi na tabia ya mtoto. Malezi ya upande mmoja wenye mwanya unachangia sana mtoto kujifunza kutoka ulimwenguni
Dunia imemfunza Lulu, Pigo vilevile linakwenda kwa wana sanaa kuchangia...
Askari yeyote akiwa katika mavazi ya kisheshi, amevaa kofia, anatakiwa kupiga salutiya mkono anapokutana na msafara uliobeba maiti gari husika, akiaga maiti haijalishi ni raia au askari wote wanapewa heshima ya mwisho kwa mapambano ya duniani.
nimefurahishwa sana na maoni yako, weka wazi tatizo ni mfumo, ukifanya mambo kinyume cha wenzako kwanza utaonekana msaliti wakati unayotenda ndio haki. Watanzania tutambue kwanza hili jambo ili tuweze kulishughulikia.
Tunahitaji kutulia na kujiuliza, nini kimetokea mpaka serikali inashindana na wananchi. Matumizi ya jeshi la Police yameongezeka sana hasa kwenye chaguzi. Tukifikia 2015 tutafanya kweli mambo ya maendeleo? Nini kifanyike kubadili
mtazamo huu?
Kurudishwa maeneo ni jambo moja, Mabomu nayo yatahamishwa? isije ikawa yale ya Mbaga na Gongo.
Ikiwezekana basi na kambi ihamishwe pia, Hivi umewahi kufika maeneo husika? Nyumba za raia zinazunguka kambi ya jeshi
nyingine kwa kutoelewa zipo umbali usiozidi mita 400 kutoka kwenye hifadhi za...
Ndugu wachangiaji, mwenye mada amezungumza kuwa baba yake alikuja TZ mwaka 1958. Hapa kuna pointi ya kujadil. Mzee huyu alikuja Tanganyika na wakati Tanzania inazaliwa alikuwepo. Kwanini asiwe Mtanzania? Wanasheria naomba msaada hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.