Jamani namaliza kwa KUTOA TAARIFA HII KWA UCHUNGU SANA TOKA SIKU YA KWANZA NILIVYOLIPOTI KWENU....LEO NDANDA SECONDARY SCHOOL Imesitisha masomo na taratibu zote za kiualimu na kiuanafunzi mpaka pale tamko kikatapotolewa. CHAKUSIKITISHA walio husika na wasiohusika wanaathirika kwa matakwa ya watu...
MPAKA SASA,waislam wote wapo barabarani juelekea MASASI kwa afisa elimu kudai wanachodai kuwa haki yao. Haya ni maandamano yasiyokuwa ya rasmi na kibali
wakristo wote(ukwata,casfeta,asa) wanasalia madarasani, TYCs tu ndio wanajengo lao walilopewa na waliojenga shule. Wakati wao wametengewa eneo maalum bado hawataki? Sijui wanataka ghorofa
Ni jumatatu nyingine tena kikundi kimoja cha kidini (waislam),wamesababisha kutoweka kwa amani baada ya kuanzisha mgomo kwa lengo la (a)kudai kunyimwa kupatiwa eneo la kujenga msikiti shuleni (b)kukataa uongozi wa wanafunzi kwa kudai kutokuwa na usawa katika uongozi huo(idadi sawa ya waislam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.