Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,
Pole na majukumu ya kuongoza nchi na pia hongera kwa kazi nzuri unayofanya kuifanya nchi yetu inakua kiuchumi na kuwa na amani.
Kwa sasa dunia ni kijiji, unaweza kufanya kazi na mtu yoyote aliyeoko nje ya nchi.
Tuna tatizo la ajira kwahiyo vijana wengi...
Habari wakuu!
Mwenye stock firmware ya Tecno W3 build number W3-H806A1-M-160721V30 inayofanya kazi naomba. Nimejaribu kupakua mtandaoni hazifanyi kazi
Shukrani
Kutokana na baadhi ya watu kuhangaika namna ya kupiga Windows kwenye computer zao. Nimeamua kukuandikia kitabu ambacho utaweza kuinstall Windows yoyote kwenye computer yako iwe XP, Vista, Server, 7, 8, 8.1, 10 & 11 kwa urahisi zaidi. Baada ya kusoma na kuangalia tutorials, utaweza kuweka Windows...
Naomba kujua aina za sub meter na bei zake.
Nilimuuliza jamaa mmoja hivi, akadai kuna submeter aina moja tu inayohesabu tu na haina button
Ktk kugoogle naambiwa zipo za button
Je, hizo za button zinapatikana, na wapi naweza kupata? Na bei yake ikoje?
Sifa
-Umri 25-32
-Elimu kidato cha 4 na kuendelea
-Ambaye hajawahi kuolewa (Km ana mtoto basi awe 1 tu)
-Dini yyte
Sifa zangu.
-Umri 30s
-Elimu chuo (Degree)
-Nimejiajiri
-Makazi Dar
-Mkristo
-Sina mtoto, sijawahi kuoa
Kama upo tayari ni pm
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.