Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari inayonikabili, ambayo inahitaji fedha za haraka. Hivyo wakuu naomba mwenye kazi yeyote ambayo naweza kufanya...
Habari, huko kwenu sukari inapoatikana kwa urahisi? na ni kwa bei gani kwa kilo?.
Sehemu niliyoko mm haipatikani kirahisi na kilo ni kuanzia sh 4000/= na kuendelea mpaka 5000/= kutegemeana na muuzaji.
Sukari, Sukari Sukari, mbona unatutesa watanzania??
Karibuni tuelezee mafanikio tuliyoyapata 2023 na mipango ya 2024.Binafsi 2023 nimetoka kapa ila namshukuru Mungu. 2024 mipango yangu ni kuanzisha biashara, kununua kiwanja/viwanja, pamoja na kununua gari hata kama ni old school.
Ee Mwenyezi Mungu unisaidie
CCM mmesha kosa kura yangu kwa kutulimbikia matozo kwenye Kila kitu, huku sisi Wana Nchi wakawaida umaskini unatutafuna. Aliye buni hii kitu ya tozo.Mungu atamlipa.
Mwenzenu nimeanzisha magusioano na demu wa kizungu, kusema ukweli nainjoi sanaaaa, tena saaaana tu. Mfano Jana nimemgegeda, kinoma, yaaani anashukuru balaa, anasema hajawahi pitia mgegedo kama huu alioambulia kutoka kwangu. Asubuhi kaniandalia breakfast kali pamoja na juice na kisha akani drop...
Wakuu nahitaji msaada Mganga wa kuunganishwa na mganga atakayeweza nisaaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa, pamoja na kuwa adhibu wahusika, Malipo ni baada ya kazi (vitu kurudishwa na wahusika kufahamika)
Natanguliza Shukrani
Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye...
Kweli mapenzi hayana komando nimeamini.
Yaani mtoto wa 2000, tena ni mchepuko tuu ananipiga kofi kisa nimemuacha sehemu kumuwahi kumpokea wife, kwani alikua safarini.
Eti anasema simjali kwani hata kama ni wife si nitamkuta nyumbani tuu. Kweli mapenzi hayana komando mtoto wa 2000?
Hello, wakuu naomba msaada wa jinsi ya kukaanga karanga kwa ajili ya kuuza. Je, naweza tumia microwave katika kukaangia karanga au je, nitumie nini katika kukaanga karanga?
Msaada tafadhali
Nampongeza Kocha wa Simba kwa kazi nzuri anayofanya hakika anastahili, Mitano tena.
Kwa falsafa yake yeye anachojali ni kuvuka stage moja na kuendelea na mashindano , hii itatufikisha mbali huenda mwaka huu tukatinga nusu fainali.
Nasema uongo ndugu zangu?
Tuleteeni utopolo mapinduzi cup
Wanaume wenzangu naomba tupitishe azimio la pamoja kama ifuatavyo:-
1. Kuanzia 2021 hakuna kumtumia Demu nauli, hata kama ni 400/=
2. Hata kama umemtumia hela, let say ya matumizi hakuna kumtumia na ya kutolea.
3.Ukitumiwa sms na manzi yeyote ikisomeka hivi " Nikuombe kitu " zima simu
Ongezea...
Yewomi eeeeh, yewomi eeeeh, yewomi eeeeh Christmas cha mshikha. Wachaga tutafute hela aisee muda wa kurudi kwetu umefika, nyama choma na bia lazima viwepo.
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mwaka ndio huo umekatika njooni tupeane fursa za kibiashara kwa mwaka 2021. Ili tuweze kujipanga vyema.
Kwa mwaka 2021 afe kipa, afe beki lazima nianzishe kabiashara japo kadogo, nafikiria kufanya biashara kwenye masoko, nalenga kuanzisha banda la...
Pasipo na shaka kipindi cha redio cha Sports Arena ya Wasafi FM, ni kipindi cha hovyo kabisa -- makelele mengi, hawa-balance story, na hicho kikundi kinachojiita wachambuzi always ni kutaka kuivuruga Simba tu.
Wakuu binafsi mm sio tajiri ila nina ndoto za kuwa tajiri, hata hivyo namshukuru mungu maisha yanasonga japo napata ka hela kakubadilisha mboga Mwenyezi Mungu apewe sifa na utukufu.
Sasa hivi corona amekuwa mtetezi wangu mkuu, yaani hata mtu akiniomba hela na nikiwa sina na singizia corona...
FURSA YA KILIMO CHA NYOKA
Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo chenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana. Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu...
Wakuu kwema, kuna manzi mmoja hivi nilimtongoza jumanne sasa leo anataka nika mgegedee nyumbani kwake. Ananiambia ameniandalia chakula pamoja na vinywaji hivyo nisiache kwenda
Wakuu nishaurini niende au nisiendee maana waweza kuta nimtego
Soka la Bongo bhana, wakati Simba ikiwaza zaidi kushindana kimataifa na kupiga hatua flani kimataifa, timu nyingine zilizobaki za Ligi Kuu zinafikiria kushindana tu na Simba.
Mfano Yanga, wao wako kushindana na Simba tu, hawana mipango yoyote ya kimataifa, wao kazi kuiga na kushindana na simba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.