Hello current am pursuing MSc. Food technology in netherland, i am looking place in Tanzania to do my internship of not longer than 6 months. I am interested to work on food microbiology aspects. If anybody have something let me know please.
Mgombea ubunge wa Sikonge kupitia CHADEMA amerejea CCM leo ktk viwanja vya Jangwani DSM.
Kumbuka Nkumba alijiunga na CHADEMA baada ya kushindwa kwenye kura za maoni CCM. Alipewa kuipeperusha bendera ya CHADEMA kwenye uchaguzi wa mkuu Oktoba 25.
Wamachama wa CHADEMA waliandamana kupinga uteuzi...
Kutoka vyanzo mbalimbali vya habari Mbunge wa ukerewe(cdm)Salvatory machemli anataraj kuhamia ACT wazalendo baada ya kushindwa kura za maoni.
Updates:
ACT Wazalendo wameandika kwenye mtandao wao wa twitter kwamba, Machemli ameshajiunga na atagombea ubunge mwaka huu.
Update: 2
Mh. Machemli...
VITUKO VYA OSCAR KAMBONA.
Hakuwahi kumwogopa Nyerere
1961. Alifunga ndoa na "Miss Tanganyika" mjini London Nyerere akiwa "best man" wake
1964. Akiwa waziri wa mambo ya nje aliwatoa kimasomaso Nyerere na Kawawa alipozungumza na wanajeshi waasi bila kujali uhai wake.
1967. Amzaba kibao...
Wasalaam JF
Mwenye kujua contacts za waandishi wa habari wa channel ten tv naomba msaada tafadhali.
Nitashukuru kama nitapata waandishi wawili ama watatu.
Ahsanteni
Salaam JF
Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;
1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni...
Swaum makbur ndugu na jamaa wa JF.
Leo hii napenda kutoa duku duku langu la wazi juu ya unafiki wa JK kwa mh. Nchemba na Pinda.
Kwanza naanza kwa kuwapa pole waheshimiwa hawa wawili walioamini ni chaguo sahihi na kipenzi cha JK lkn pia niwatangulizie pia na msemo wa waswahili unaosema bata...
Dalili za Makongoro Nyerere kukata tamaa zimeanza kuonekana baada ya leo kuanza kulalamika kwenye vyombo vya habari kuwa CCM itapitisha mgombea asiye na sifa na amedai dalili zote ameziona kuwa mgombea mtoa rushwa ndiye ana ushawishi mkubwa kuliko wengine hivyo amekitupia lawama chama chake...
Kwa mkazi wa Dar na mikoa ya jirani aliye tayari tufanye project za uzalishaji wa mazao ya kilimo. Mimi ni mwajariwa wa manispaa mojawapo hapa DSM kama mtaalam wa kilimo lakini kwa sasa nipo Netherland nafanya shahada ya ya pili ya kilimo upande wa greenhouse hort, natarajia kumaliza mwezi Sept...
Hali ya usalama kwa wakristo ni tete nawashauri sasa waanzishe military trainings kwa ajili ya kuweza kujilinda wenyewe dhidi ya mashambulizi ya kigaidi. nashauri umoja wa maaskofu kupitia makanisa yao sasa yaanzishe military trainings kwa waumini wao na si kusubiri serikali, wapeleke vijana...
Wasalaam JF
Nipo nje ya nchi nataka kufundisha wazungu michezo ya kufurahisha ya kitoto tuliyocheza zamani kama unajua mojawapo niwekee hapa tafadhali iwe ambayo inawezekana kuchezwa ndani ya ukumbi mimi nimeshasahau.
Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu.
Jeshi la Chad linasema kuwa limewaua wapiganaji 200 wa kundi la boko Haram huku nao wakipoteza wanajeshi 9 katika vita vikali vya kuuteka mji muhimu kazkazni mashariki mwa Nigeria.
Wapiganaji wa Boko Haram waliwauwa watu 30 baada ya kutoroka mapigano hayo na kuelekea nchini Cameroon,mkaazi...
Simama uhesabiwe.
UFAFANUZI:
Kuna baadhi ya mmamluki humu wanadai mgombea huyu wa chadema amemwachia mgombea mwenzake wa nccr jambo hilo si kweli na kama wana uthibitisho waweke hapa jina na kiambatanisho chochote cha mgombea wa nccr. Tuache siasa za majitaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.