Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Kutoka Mbeya, George Mwakalinga aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mwakyembe la Kyela mkoani Mbeya, amehamia CHADEMA Muda sio mrefu.
Kutoka mbeya mh George mwakalinga aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la mh Mwakyembe amehamia chadema Muda sio mrefu
jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia
Naweka nafasi
duh kwahiyo kila mwanachama akihama ni breaking news na lazima iletwe jf!!! basi kazi
Kutoka mbeya mh George mwakalinga aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la mh Mwakyembe amehamia chadema Muda sio mrefu
jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia