na maanisha kwa mfano una friend wako ulimpenda sana kiasi ya kuwa nafsi ikaanza kumpenda na ukawa una mfanyia mengi ili kumfurahisa ila hamujahi kutana face to face
rafiki wa barua .ila kukatokea mambo ikawa una ona hana muelekeo na ww in future na ukajaribu kuamuacha na maisha yake but you...
eti wapemba wana penda tigo mambo kibaooo, jamani mimi kwetu zanzibar tena uko kisiwani pemba, lakin icho kitu sio kweli, na watu wanasema kitu ambacho hakipo, japo kua wanzanzibar wengi wana asiili ya uarabia but we are not doing such a thing, hiyo issue...
jamani ukweli ni maisha ni mapenzi, na mapenzi ni maisha,huwezi kua normal human kama hujaingia hapa. lakin kila kitu kina furaha yake na matatizo. if ww umekua always happy uko lucky sana ,, na huwezi kusoma kama huja pata mitihani katika hii dunia,
naomba ushauri jamani.. nahis niko un lucky kwenye mapenzi,, nimempenda mtu ambae hatuja wahi kukutana ktk maisha yangu ,,tumejuana kwa kiasi kikubwa kumtatlulia problem zake huko aliko ,,lakin kumbe yeye yuko tofauti saiv nimesha athirika kisaikogia nn nifanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.