Habari wana jamvi,
Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na ninaloishi akanishauri niweke faili lingine nakapakua mtandaoni.
Changamoto ikaja wenye kuliweka kila...
Habari wakuu naomba msaada kwa anayeweza elewa tatizo la moderm kujidisconnect yaani nikiweka
inafanya kutoa kamlio kanakoashilia inaconnect na kujidisconnect.
Hata kusoma kwenye window haionyeshi kama imesoma nimejaribu kubadili window ila bado shida nimechukua mordem nyingine na kuijaribu...
Habari jamani naomba kufahamu kama kuna mtu aliyewahi lipwa kwa kutizama video mtandaoni maana kuna jamaa kanitumia link anasema aliwahi lipwa naomba uzoefu kwa mwingine aliyewahi lipwa au mwenye kulifahamu kiundani suala hili
habari wakuu kuna i phone inaandika km hivo hapo juu je niki connect itune itarudi km awali nina wasi wasi kuwa itahitaji i cloud na simu yenyewe nimeziwa mtaani hata i cloud sijapewa je kuna msaada naweza upata hapa au niachane nayo
Habari wakuu tafadhali naomba msaada nina modem 2 nilikuwa nazi flash moja imeishia njiani yaani hakumaliza ku sahisha faili lake ambayo ni huawei e3531
nyingine ilimaliza lakini nikiweka laini inaonyesha imekubari tatizo mtandao unakuwa hamna hata nikitafuta bado inaniambia no service hii ni...
Habari ndugu zangu naombeni msaada kutambua movie hii kwa maelezo mafupi nitakayo yatoa hapa.
Hii movie nahisi imetolewa 1997 ni ya gerezani stara wa hii movie hupenda kujifunga kitambaa kichwani na %kubwa wamecheza sana kwenye mahindi mashambani na kuna sehemu kuna dogo aliuliwa kwa kufukiwa...
Habari wakuu daah nilinuanua hisa bila kutafuta washauri sasa nahangaika maana hata kuuza mawakala wote wanasema Hakuna mteja nimejaribu hata kuomba wanipe kiasi chochote Hakuna majibu.
Nimeleta hapa maana nafahamu hapa kuna wadau wengi zipo Hisa 200 tu, nipo radhi kuchukua kiasi chochote kwa...
Habari..
Kumekuwa na tabia au tatizo la Line za Tigo kushondwa kushika mtandao na hilo tatizo halitatuliki mpaka uende kwenye ofisi za tigo na ufanyiwe swap
Mbaya zaidi ndo upo bize na shughuli zako ina boooooaaaaa!!!!!
Habari wakuu hivi mfumo wa hapa nchini wa sasa unaweza kuipata simu iliyoibiwa kama unavielelezo vya simu yako mf list imei namba. msaada tafadhari maana nimepiga voda nimeambiwa niende police ndo wao wanaweza kutoa msaada kwa 100% kwa ambae aliwahi poteza na akafanikiwa ningependa kujua...
Habari hivi karibuni nilinunua dvd lengo langu niikop kwenye lap top yangu
Nilipojaribu kukop baadala ya kuwa 4 gb ikazidi ukubwa nikaamua kutumia power iso bado ikashindikana
kwa kutumia hiyo power iso nikakop kwa mfumo wa bin file ikakubali lakini kuconvert bado kibarua kuna namna yeyote...
Habari nina recever mediacom 9400 plus tatizo sauti kukata kata lakini picha zinakuwa nzuri ila ni sauti tu.je kwa anaetumia hii recoder naomba kujua yeye upande wake
Habari,samahani nina tatizo simu yangu aina ya Tecno m-3 imejiloki baada ya kuingiza namba yasiri isiyo sahihi nimejaribu kuizima na kuiwasha nikiwa nimebonyeza volume+ na power inaleta maneno haya (spreadtrum factory test phone test factory used)
HABARI NAOMBA MSAADA JUU YA RECOVER YENYE UWEZO WA KULUDISHA DOCUMENT MANA NIMEJARIBU Stellar phoenix, easeus recover, vitu vimerudi lakini hakuna kinachofunguka, Tafadhali msaada kuna document za muhimu natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.