Wadau Mwanangu anasumbuliwa na ugonjwa mguu wa kulia unavia maji inatengeneza kitu kama kidonda pembeni ya mguu, hakiumi ukitumbua hutoa majimaji kama usaha.
Hospital walinipa tube nipake nadhani za fungus Ila hakuna suluhu.
Naomba ushauri, halafu hizi kg zimegoma kupungua nlikua na 89 hardly nimerudi 88 maji ya kunywa pia kuna Muda najisahau....Ila untayoni pia maumivu na Kwa viganja vya mikono rangi inakua kama moayiko
Wadau napata maumivu makali Sana upande wa kulia wa tumbo chini ya titi hapo...nimeshafanya vipimo bila mafanikio...nimepima utendaji wa figo, ini, saratani vyote viko sawa.
Nina siku 3 mfululizo maumivu makali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.