Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,287
Kuna mpuuzi wa kuingia mtaani.....video yenyewe wanatuma kwa kufichaficha sura kujiamini 02020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.