Mkuu pole sana kwa maradhi yako unakula chakula gani kwa kila siku?una kilo ngapi?una miaka mingapi? mwanamume au mwanamke?tupe majibu hapo tupate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole Mkuu.Wadau napata maumivu makali Sana upande wa kulia wa tumbo chini ya titi hapo...nimeshafanya vipimo bila mafanikio...nimepima utendaji wa figo, ini, saratani vyote viko sawa....Nina siku 3 mfululizo maumivu makali sana
Kg 88 Mwanaume, asilimia 90 nakula wanga na matunda miguu pia inauma untayoni na mikono inapoteza rangi viganjaniMkuu pole sana kwa maradhi yako unakula chakula gani kwa kila siku?una kilo ngapi?una miaka mingapi? mwanamume au mwanamke?tupe majibu hapo tupate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole Mkuu.
Umepima Figo in na Saratani lakini hujapima Asidi inaonyesha unayo asidi nyingi mwilini mwako na Asidi ndio chanzo cha hayo maradhi yako.Kg 88 Mwanaume, asilimia 90 nakula wanga na matunda miguu pia inauma untayoni na mikono inapoteza rangi viganjani
Naomba namba yakoUmepima Figo in na Saratani lakini hujapima Asidi inaonyesha unayo asidi nyingi mwilini mwako na Asidi ndio chanzo cha hayo maradhi yako.
Unakula vyakula vyenye asidi ndio maana unapatwa na hayo maradhi vyakula vya asidi na wanga kwa wingi . Nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.
View attachment 1521907
Damu kubwa wakaangalia utendaji kazi wa figo na damuini ulipima kipimo gan