sio vicent km 50 50 af mchz mfukoni cna hata jiti,kwenda 41 nae anataka mahelaaaaa
dah nipeni deal,she performs na ila anasema hukuepo wakat nazisaka so usinipangie kuspend
habari zenu wana jf doctor,za siku nyingi?hope wazima wote
samahani nimesikia kua mafuta ya ubuyu yanapunguza unene ni kweli?
Mana kwa jinsi nilivo yaona yapo kama korie hata harufu pia,
na kama yanapunguza unene je unayanywa au wafanyaje?
Natanguliza shukran zangu za dhati
jina lake hata kulitamka naskia amani moyoni mwangu,simfahamu vizuri and so does he,ila i guess ndio jina lake asili,nikiona kaanzisha sired lazima niisome yaan,ooh nampenda sana jamani huyu kijana,hivi juz kat mkewe(galfurend)wake kapatwa na maswahibu ya multiple id's,si mwingne ni my adorable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.