oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
habari zenu wana jf doctor,za siku nyingi?hope wazima wote
samahani nimesikia kua mafuta ya ubuyu yanapunguza unene ni kweli?
Mana kwa jinsi nilivo yaona yapo kama korie hata harufu pia,
na kama yanapunguza unene je unayanywa au wafanyaje?
Natanguliza shukran zangu za dhati
samahani nimesikia kua mafuta ya ubuyu yanapunguza unene ni kweli?
Mana kwa jinsi nilivo yaona yapo kama korie hata harufu pia,
na kama yanapunguza unene je unayanywa au wafanyaje?
Natanguliza shukran zangu za dhati