Hayo mawazo ya hapo juu yote achana nayo,Instal Mozila firefox 3.63 ndio the best au hata vision nyingine yake,then instal SPEEDBIT VIDEO DOWNLOADER itakwenda ku jiattach na mozila,ingiza YouTube - Broadcast Yourself. ktk mozila URL,Ukisearch video unayoitaka na kuiplay itakuja option pembeni,me...
Ukipata program inaitwa USB DISK SECURITY itasaidia.ukiwa umei instal,ukiweka tu hiyo disc itakuonyesha wadudu waliomo na unacomanda DELETE ALL,as simple as that.iwe registered!
grammaticaly correct but your text if compared to what i presented,the two are highly incompatible semantic features,there is no relation in meaning between text 1 and text 2,DONT WRITE BECAUSE YOU WANT TO WRITE SOMETHING,WRITE IF YOU HAVE SOMETHING TO WRITE!you are welcome.
Habari ndugu zangu,mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya ualimu SHAHADA,BA.Ed mwaka jana.february mwaka huu nikapangwa katika ajira ila nimechelewa nikaripoti april,nimeambiwa hakuna pesa za kunilipa kwani zilirudi hazina,finaly,naambiwa niende Wizarani,TAMISEMI,nikaombe kazi,swali ni...
guyz sijawahi kutoka na mmama aliyenizidi umri ila nikiwaona nawatamani sana.mi nina miaka 27.nimeajiriwa.ninaelimu ya kutosha.degree 1.siwapendei pesa.mnanishaurije?
hawa jamaa wa TBC hata kiswahili kinawapiga chenga,wananchi wamekwenda kwa mkurugenzi wao kutoa malalamiko,wao wanasema WAMEVAMIA.upotoshaji mtupu!!!!!!!!!
askari wa jeshi la polisi wa mkoa wa Morogoro wakiwa katika gari Land rover tdi yenye namba PT 1490 muda wa saa saba na nusu,wakiwa kando ya barabara indayo Dodoma katika pori fulani,wamekabidhiwa MACHUNGWA MIFUKO MIWILI na utingo wa basi la SIMBA MTOTO huku abiria wote wanatazama,baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.