TAMISEMI watanipa ajira?

Al shabab

Member
May 21, 2011
71
6
Habari ndugu zangu,mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya ualimu SHAHADA,BA.Ed mwaka jana.february mwaka huu nikapangwa katika ajira ila nimechelewa nikaripoti april,nimeambiwa hakuna pesa za kunilipa kwani zilirudi hazina,finaly,naambiwa niende Wizarani,TAMISEMI,nikaombe kazi,swali ni je,mnazani itakuje au mnashauri nifanye nini?kama kuna mtu wa tamisemi humu afunguke..
 
umeona goali la Papiss Cisse? ni Noma!

grammaticaly correct but your text if compared to what i presented,the two are highly incompatible semantic features,there is no relation in meaning between text 1 and text 2,DONT WRITE BECAUSE YOU WANT TO WRITE SOMETHING,WRITE IF YOU HAVE SOMETHING TO WRITE!you are welcome.
 
Kila kitu kina utaratibu wake, kuchelewa kuripoti kazini kwa zaidi ya mwezi ni kosa except uwe na genuine reason kama vile ugonjwa ukionyesha na vyeti ambavyo kule unakoenda kuna madaktari watavipitia kwa verification.

Nijuavyo mimi ni kuwa TAMISEMI hawana shule, watakuombea kwenye Halmashauri lakini utaulizwa muda wote ulikuwa wapi ulishindwa kuripoti na mwisho ukaonekana wewe mzembe.

Usikate tamaa nenda uwaambie watakusaidia na wakati mwingine wanaweza kuongea na Halmashauri uliotakiwa kwenda kuripoti ili wakusaidie.
 
Nenda halmashauri ulikopangiwa waeleze sababu za ww kuchelewa then ukubali kuanza kz bila malipo wakati fedha zako zikisubiriwa toka hazina itategemea na aina ya mkurugenzi wako anaweza akaangalia means nyingine za kukufanya uishi kwa kipindi ukisubiri subsistence allowance yako na wakati unasubiria mshahara wako uanze ku flow toka hazina haichukui muda mrefu ndani ya miezi 2 utakuwa umeanza kupata mshahara wako
 
Nenda halmashauri ulikopangiwa waeleze sababu za ww kuchelewa then ukubali kuanza kz bila malipo wakati fedha zako zikisubiriwa toka hazina itategemea na aina ya mkurugenzi wako anaweza akaangalia means nyingine za kukufanya uishi kwa kipindi ukisubiri subsistence allowance yako na wakati unasubiria mshahara wako uanze ku flow toka hazina haichukui muda mrefu ndani ya miezi 2 utakuwa umeanza kupata mshahara wako
nimepitia huko kote mpaka kwa REO,Nimeambiwa niende Tamisemi.
 
Mwl mzembe wewe bora wakutose kabisa maana nyie ndio mnaoleta zero za kutosha, kweli unashindwa kuripoti kwa wakati unategemea watoto wetu wafeli eee.
 
Back
Top Bottom