Kusema kweli mimi huwa navutiwa sana na wanawake wanaovaa madira kuliko hawa wanaovaa visuruali vya kubana au visketi vifupi.
Mwanamke na hasa umkute ana shepu halafu akuvalie dira, wallahi huwa nahamasika, yaani huwa wananivutia sana.
Mimi la aziz wangu alikuwa hapendelei kuvaa madira...
kwa matukio yaliyotokea kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa umoja wa wanawake(UWT) nimebadilisha mtazamo wangu kuhusu wanawake kushika uongozi wa nchi hii, nchi yetu haiwezi kuongozwa kwa vijembe na mipasho ya kipashkuna namna ile, hatuwezi kuongozwa na mtu au watu wenye uwezo finyu wa kukabiliana...
Siku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu ananiambia kampa mtoto jina la ROSTAM.
Nikadhani ananitania kumbe she's serious na yeye anajua vilivyo...
kwanini tunapotuma message kwa kutumia simu za mkononi salio huwa linakatwa hata kama message yenyewe ikiwa 'not sent' au haijawa delivered? Je hii ni halali? Hapa haya makampuni ya simu yanakuwa yanatoza hela kwa huduma ipi waliyokupatia? Mtu unayemtumia anaweza akawa kazima simu au yuko out of...
Jana kwenye kikao cha bunge wakati mbunge wa CHADEMA- Leticia Nyerere alipokuwa anazungumza alikuwa akichanganya kiingereza na kiswahili, kuna mbunge mwingine simkumbuki jina wala chama chake akaomba mwongozo wa mwenyekiti kwa kutoa taarifa kwamba ni kinyume na kanuni za bunge (akaisoma)...
Heshima zenu wanajamii!!, nimeamua kujumuika pamoja nanyi baada ya kuwa observer kwa muda mrefu, nimelisoma game na sasa tuwe pamoko katika libeneke.
natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.