ninatumia smartphone za vodacom, ambazo ni lazima sim 1 lazima iwe voda na uwezi kuunga network kwa sim 2,
msaada jindi ya kutumia sim 1 laini nyingine zaid ya vodacom,
asanteni
habari wanajamvi,
naweza kupata maelezo na sehemu ambapo ntaweza kupata utaalam wa kufungiwa tracker kwenye chombo cha usafiri kama pikipiki au bajaj kwa ajili ya kujua ilipo na kuona mienendo yoye ya chombo huska
asanteni
habari wanajamvi,
nimenunua simu za vodacom lakni na shindwa kutumia data lain nyingine kwa sababu lain ambayo unatakiwa kutmia data ni voda nashindwa kupata uwezo wa kutumia data kwa laini nyingine,
naomba msaada wa maujuzi wa kutumia data kwa laini zote pia jinsi ya kuweza kutumia laini...
Habari kwa uwelewa wangu mdogo watu wa TANESCO watanisaidia kama ntakuwa nakosea.
tarrif 4 ni wateja wadogo wa umeme vijijini na wenye matumizi madogo ambao kama sikosei ni watumiaji wa umeme wenye unit chini ya 75 kwa mwezi ambapo wananunua umeme kwa shilingi 108 bila kodi za serikali na...
me nakumbuka walisema nikiona manunuz yangu ni chini ya unit 75 kwa mwezi kwa miezi miwili nilienda ofisin kwao wakanipa karatasi nikaandika barua kama ushahidi nikaacha baada ya muda walinipigia simu kuwa tayari baada ya kukidhi mahitaji..waliniambia nisinunue umeme zaidi ya shilingi 9150 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.