Naamini kuwa hii ni wilaya/jimbo ambalo ni maskini kuliyo yote Tanzania
Hivi wana kisarawe mnashindwa kumput to task huyo mbunge wenu (kama yupo)?
Mambo ya musing kama Maji, Umeme, Barabara na Afya ni non existent kwenye hili jimbo
Kama mmeshindwa kwa nini mnashindwa kumshitakia kwa Rais au...
Hivi mshawahi kujiuiza kwa nini sisi wadigo haturuhusiwi kuwa na chief wetu?
Adam Mkwawa(13), Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, Abdul Sapi Mkwawa aliyefariki 14/02/15
Hii ni barabara ya Longido kwenda Arusha. Imejengwa na serikali. Kuna abaya gani na sisi tukajengewa barabara nzuri kama hii tena ni short cut kutokea mbuga ya wanyama ya Selous
Sasa sisi tunalipa kodi kama watu wengine lakini hatutembelewi na viongozi wajuu wa serikali, Mbunge wetu ni bosi...
we really need red pills from mkuu
pia zuia pesa za maendeleo jimbo hili na kura tutaendelea kuwapa CCM
we don't deserve INVESTMENTS WALA MAENDELEO huku..
So far hatujaonyeshwa risiti za manunuzi kuonyesha kuwa NSSF walinunua Kiwanja kwa shilingi milioni 800
Hatujapewa jina la muuzaji, ukubwa wa kiwanja, plot number, tile number na stakabadhi ya malice
Sasa why media hawaulizi haya maswali?
Land for Equity (Ardhi Kwa Hisa) na Mradi wa NSSF Dege Beach Kigamboni
Jana Magazeti mengi yameandika kuwa kuna ufisadi mkubwa kwenye miradi ya Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF), Hasa Mradi wa Dege Beach Huko Kigamboni ambapo imeelezwa na magazeti yetu ambayo yana editors na waandishi wasomi...
Ama kweli mama za magufuli zinatupatia changamoto. Sasa watu wanashindana kufanya kazi na kama mkiendelea na uzembe na mambo ya kutaka kusifiana wengine wanakuja kuchukua fursa.
Taarifa za uhakika ni kuwa Kisarawe wameamua kufanya jambo la ajabu kabisa ambalo wilaya zingine kama za Bagamoyo...
Maana kuja najua hutokuja maana sisi huku tumelaaniwa na hakuna mtawala anayetujali lakini tunaomba mambo mawili tuu.
1. Barabara ya lami imalizwe toka Kisarawe mjini mpaka kuingia kwenye mbuga ya wanyanma ya Solous
2. Umeme
3. Maji
Hatutaki shule, hospitali, magorofa wala nini toka...
Njooni muone huki kipande cha Tanzania kilivyobaki nyuma kimaendeleo baada ya miaka 50 ya uhuru
Wananchi wanakula mizizi, hawana maji, hawana hospitali, hakuna shule, hakuna barabara, hakuna umeme, hakuna hospitali wala vituo vya afya. Lami imeishia kisarawe mjini japo njia hii ndio rahisi kwa...
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile...
kama kuna mtu ana address yake anipe maana hii credit crunch itanua jama
yaani hata LIDL chakula bei juu
BREAKING NEWS!!!!!!
Landmark domestic trial victory as Tanzanian Domestic Worker in the UK is awarded £58,585.00 Miss Elizabeth Kawogo, a Tanzanian citizen was brought to London in...
Nadhani its about time BERNARD MEMBE akaendelea na shughuli zake binafsi kama za ID cards na kuwapangisha wabunge wanawake nyumba kule Dododma na nafasi yake nina suggest apewe adui wake mkubwa bwana AUGUSTINO MAHIGA ambaye kwa muda mrefu I have come to admire.
MAHIGA PROFILE:
MUNGU...
Kama sikosei ni sisi humu JAMBO FORUMS ndio tuliokuwa wa kwanza kuwa na habari ya MIKATABA ya ubadhirifu wa jamaa zake JK
lakini kama kawaida wale walio karibu na watawala wakaanza kuleta stori za ohhh
LETE EVIDENCE
mara ohhh HAMISHA PELEKA KWENYE UDAKU
mara ohh kiko wapi?
In the...
Afunguliwa kesi kwa kumuuliza
Swali Waziri Mkuu..
STAILI ya Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa anapokuwa katika ziara mikoani ya kuruhusu wenye kero waulize maswali sasa imezidi kuwa mzigo kwa wananchi, uchunguzi wa kina wa gazeti hili umebaini. Uchunguzi huo katika ziara kadhaa za Waziri Mkuu...
nimeona nichukue fursa hii kuuliza huyu mwenzetu yuko wapi? je walifungiwa au vipi? Je kamdhulumu mtu humu? tushamtafuta kila kona haonekani vipi? Manakijiji mara ya mwisho wewe ulikuwa na mvutano naye ,je unaweza kutufahamisha yuko wapi MLALAHOI?
Freeman Mbowe:
Kuna nyeti kuwa madeni yamezidi na sasa hivi yuko bize kuyahamisha na kubadilisha ownership toka binafsi kuwa ya kampuni and so on.
Lakini waliomdhamiria nao washachoka, kwani kuna institute moja inamdai zaidi ya bilioni 3. Hili linanitia hofu kwani kwa Upinzani ambao ni...
Najua hii topic haitokuwa popular na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali
Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?
Mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juu kule Ikulu na vile vile namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.