Ndugu zangu wana JF nilikuwa msomaji wa gazeti la Rai na Mtanzania, ukafika wakati nikayakimbia pale yaliporipoti uwongo. kimsingi magazeti haya yaliwahi kupingana na ukweli yakiwatetea na kuwasafisha mafisadi na kuwashambulia wale wote waliopupenda ukweli na kuusema ukweli. leo hii naandika...
aliye kula rushwa ya Nimrod Mkono akaachia jimbo sii Nyakunguru bali ni Machael Makenji wa chuo kikuu cha Dodoma ambapo alijitoa baada ya kupitishwa kuwa mgombea wa musoma vijijini, na inasadikika alikula dola elf tatu.
lema nilimaliza nae form six na alifaulu vizuri swala lakujiunga chuo kikuu sijui ila jamaa alikuwa kichwa kinoma. ngoja nimuulize alimaliza chuo hani nitamjua ni mshikaji wangu kinoma thogh hatujaonana for the long.
naona dalili za kutokea yale ya Tunisia. kumbuka kilichosababisha rais wa tunisia kuondolewa ni kitendo cha kijana mmoja kuamua kujichoma baada ya kubugudhiwa na serikali. sasa kilichopo hapa CCM, kutumia nguvu za dola kuendelea kutawala kwa nguvu zitawatokea puani. wananchi tumeamua na sasa...
Norman ni mtu hatari sana mnafiki kwani anaweza cheka na wewe lakini yupo behind the move. yupo kikada sana na ndie aliyeasisi utaratibu wa kuwafanya watendaji wa kata kukwamisha shuguli mbalimbali mfano nenda kwenye maeneo yanayoongozwa na chadema kwa maana ya wenyeviti na madiwani. pia...
tunaambiwa sigala kawaseti watendaji wa kata na halmashauri ili juhudi za mbowe zisifanikiwe? yeye ndie anawatuma waandishi wa habari kuandika habari negativu za mbowe, inasadikika yeye ndiye mshauri mkubwa wa fuya kimbita na alimshinikiza kufungua kesi kwani yeye mwenyewe alimuahidi kikwete...
Ile hali ya wananchi kuendelea kupoteza uvumilivu inaendelea kusambaa.
Leo hii imetokea jimboni Hai jimbo la kiongozi wa upinzani pale mwenyekiti wa kijiji cha isuki kata ya masama kati walipojikuta wakila kichapo cha kutosha. sababu ya viongozi hawa kupewa kichapo ni pale chama cha mapinduzi...
mchange wewe ni mbaguzi sana. wewe tunaweza kukuita kibaraka kwani kuutumia ukabila udini na ubaguzi wote unao ufanya ni ishara tosha kiuongozi umeshindwa. nakuaminia kwa mikakati na wewe unaweza ukawa kiongozi mzuri kama utaacha tabia ya kutumia uchaga uislamu na majungu ili uingie madarakani...
Serikali ya CCM imefunguwa kesi kwa kupitia wanasheria wake kutaka kuwafunga wapambanaji wa CHADEMA.l eo tulikuwa mahakamani na mimi ni miongoni mwa washtakiwa katika kesi hiyo. cha ksikitisha kuna baadhi ya washtakiwa wenzetu hawakuja mahakamani. mama Joshephine na mwezake. kutokufika kwao...
kwa sisi CUF viongozi tunafaidika pia ni kosa lajinai kukipinga chama tawala.sasa lengo letu ni kuiuwa cdm endelea kutuamini tumefunga ndoa na ccm tuondoe hichi chama cha makafiri
Haya Bana Mh. masele. mbunge wa shinyanga aliyechaguliwa na wananchi ndo huyooo kapotea. sasa shinyanga wanawakilishwa na mbunge wa tume mh. mchakachuaji masele.
dah sasa mbege na nyama tutaipata wapi tena.mfadhili kaondoka.eh ruwa mangi. mazishi ni lini niwahi umbwe nikale nyama na kunywa pombe ya mbege ya mwishomwisho.sijui kama tutampata tena mbunge mgawa pombe mzuri kama huyu
kumbe wabunge ni wale wa chadema tuuu.hongereni wabunge wa chadema kwa kufanya kazi ya uwakilishi vzr kama wabunge. sasa nimegundua mbunge ni kutoka cdm wengine ni maamuma
yeye kama cyril chami nampa pole ila yeye kama waziri kwa tiketi ya chama cha magamba huo ni ujumbe kwake na huyu mtu kwanini kila mara amekuwa akipata ajali Pia chami huyu ni mtoto wa shangazi yake na Deusi Malya muuwaji wa chacha wangwe kwa hiyo hilo nalo nipigo na ni muda wa kutafakari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.