mao tse tung
Member
- Mar 24, 2011
- 51
- 11
Ile hali ya wananchi kuendelea kupoteza uvumilivu inaendelea kusambaa.
Leo hii imetokea jimboni Hai jimbo la kiongozi wa upinzani pale mwenyekiti wa kijiji cha isuki kata ya masama kati walipojikuta wakila kichapo cha kutosha. sababu ya viongozi hawa kupewa kichapo ni pale chama cha mapinduzi kilipojimilikisha jengo ambalo ni ofisi ya kijiji na kuweka bendera ya CCM.
Katika mkutano huo mwananchi mmoja aliuliza ''umetuita kwenye kikao cha chama au cha serikali?" mwenyekiti alijibu ni kikao cha serikali, kisha akaulizwa tena sababu za yeye kuja na sare za CCM pamoja na kutundika bendera ya CCM. Hali ilibadilika ghafla kichapo kikatembea ambapo afisa mtendaji wa kijiji alibanwa koromeo na kujikuta akimwaga kojo na alipofanikiwa kuchomoka hajaonekana alipokimbilia.
Kwa sasa hali sii shwari kwani wananchi wanahofu ya kukamatwa na polisi kwani kunataarifa kwamba mwenyekiti wa kijiji alitoa taarifa polisi. Nilipojaribu kuhojiana na wananchi wachache walisema "sisi tulimtaka Norman Sigala huyo anae jiita dokta wakati ni dr. feki. na bado hapa mpaka mtu afe ndio watatujua vizuri. Huyu mkuu wa wilaya ana bahati, za mwizi ni arobain.
Kuhusu source msiniulize kwani nimezipata mwenyewe kutoka kwenye tukio
Leo hii imetokea jimboni Hai jimbo la kiongozi wa upinzani pale mwenyekiti wa kijiji cha isuki kata ya masama kati walipojikuta wakila kichapo cha kutosha. sababu ya viongozi hawa kupewa kichapo ni pale chama cha mapinduzi kilipojimilikisha jengo ambalo ni ofisi ya kijiji na kuweka bendera ya CCM.
Katika mkutano huo mwananchi mmoja aliuliza ''umetuita kwenye kikao cha chama au cha serikali?" mwenyekiti alijibu ni kikao cha serikali, kisha akaulizwa tena sababu za yeye kuja na sare za CCM pamoja na kutundika bendera ya CCM. Hali ilibadilika ghafla kichapo kikatembea ambapo afisa mtendaji wa kijiji alibanwa koromeo na kujikuta akimwaga kojo na alipofanikiwa kuchomoka hajaonekana alipokimbilia.
Kwa sasa hali sii shwari kwani wananchi wanahofu ya kukamatwa na polisi kwani kunataarifa kwamba mwenyekiti wa kijiji alitoa taarifa polisi. Nilipojaribu kuhojiana na wananchi wachache walisema "sisi tulimtaka Norman Sigala huyo anae jiita dokta wakati ni dr. feki. na bado hapa mpaka mtu afe ndio watatujua vizuri. Huyu mkuu wa wilaya ana bahati, za mwizi ni arobain.
Kuhusu source msiniulize kwani nimezipata mwenyewe kutoka kwenye tukio