Vipi wadau mbona Bei ya Sukari imepanda ghafla, tena kwa ongezeko la asilimia arobaini na tano (45%)
Naona ugumu wa Maisha kuelekea/kuanza kwa mwaka 2024.
Ilinichukua muda kuelwa/kuielewa kibonzo hiki, nikasema hapana, ilinichukua muda, ila baada ya Uteuzi wa Makonda na yanayo endelea...!!
Jaribu nawe kufungua Macho/Ubongo.
Habari ya leo wana JF wenzangu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.
Naomba kujua ni utaratibu hupi ufuatwa ili kuweza kupata uhalali wa kugawia eneo jina la MTAA.
Naishi katika eneo ambalo naweza kusema ni Makazi mapya ama Majengo mapya.
Eneo hili lina bahati ya kutembelewa na...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu..
Kwanza punguzeni shobo mnapo panda Bodaboda huku mnatushika Mabega yetu.
Pili mnatukera sana (wengine) wanakwenda wanachati simu zikiwa Migongoni mwetu.
Tatu wengine hawatosheki mpaka Kifua chake na Chuchu (Nyonyo kwa kina Mama) viguse Migongo...
Kweli kama moja ya Raia wa Kitanzania, nimesikitishwa sana na kitendo cha Msanii Jaguar (nick name) kwa kauli yake ya kibaguzi dhidi ya Raia wa Kigeni.
Katika mkutano wake na Raia wa Kenya (pasipo kujua hata baadhi ya raia wa kigeni walikuwa katika mkutano wake) anaiagiza Serikali yake ikiwa ni...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Tatoo ni Imani.
Tatoo ni Fikra
Tatoo ni Urembo
Tatoo ni Falsafa
Tatoo ni Siasa
Tatoo ni Itikadi nk.nk.
Wale tulio chora tatoo katika miili yetu wengi (kama sio wote) kuna jambo/mambo tunayo maanisha ama kuamini katika Michoro yetu.
Naomba kwa atakae...
Imenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi.
Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu..
Nimeshindwa kumuelewa..!!
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu...
Nimeshangaa kukuta bei tofauti za mafuta ya Petroli katika Petrol Stations mkoani Kagera.
Hivi hawa Ewura ambao ndio wadhibiti wa Nishati hii (Petrol) katika kusimamia Ubora ikiwa ni pamoja na usimamizi wa Bei,
mbona huku vituo kila mmoja na bei...
Habari zenu JF members na wale watumiaji wa kawaida wa Wavuti hii.
Baada ya kuaga mwaka wa 2017 kwa furaha na wengine wakiwa na Frustration kibao pamoja na Stress baada ya mambo yao/yetu kwenda ndivyo sivyo (maisha hayana budi kuendelea)
Tumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya wa 2018.
Tumshukuru...
Kama uzi unavyo jieleza hapo juu.
Ni masikitiko yangu (huu sasa ni mwaka wa pili) pamoja wa wazazi wengine.
Kumekuwa/Umeibuka mtindo ama utaratibu kutoka Wizara inayohusika na mambo ya Taaluma, kuwaelekeza Maafisa Elimu (W) kuhakikisha karibu 100% ya Wanafunzi wote kutoka Shule za watu binafsi...
Naelekea umri wa Mtu mzima sasa, nimekuwa kwenye mahusiano ya Mapenzi pamoja na Kungonoka zaidi ya miaka 30 (thelathini).
Thanks to God kwani ningali na Afya njema na imara kufuatia yeye kuninusuru na Magonjwa mbalimbali (naamini watu wazima mmenielewa)
Nirudi katika mada (point), kama nilivyo...
Habari za mchana wana JF wenzangu, poleni na Majukumu ya kila leo.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.
Mimi ni mjasilia mali, ambaye ili kuyatimiza majukumu yangu (Kuchoma Chapati, pamoja na Biashara ya Chipsi) najikuta napata maumivu mara kwa mara katika Kifua changu, kwa sababu...
Rejea kichwa cha habari hapo juu...
Kila mwaka nipitapo maeneo ilipo klabu hii kongwe Yanga Afrika, nakuta bwawa la samaki pembeni ya Jengo la Klabu hiyo...!!
Naomba kujua ni aina gani ya Samaki huzalishwa hapo.
Pia, ni nani mnufaika mkubwa wa Mradi huo.
Na mwisho, je..Serikali yetu inalipwa...
Nilikuwa natazama taarifa ya habari kupitia station (kituo) cha Runinga cha televisheni yaTabibu, walikuwa wanazungumzia taarifa za michezo wakati huohuo wakipitisha matangazo ya chini Runinga....
Nilikutana na taarifa hii...
Dalili za Argentina kufuzu kombe la Dunia ziko wazi baada ya kutoa...
Habari za jioni wana JF wote, poleni na pongezi pia kwa kuitumia weekend vizuri...!!
Kama kichwa cha habari kilivyo...!
Naomba kufahamu, ni kipi...!! Au ni Mazingira gani huufanya Mwezi kuwa Nusu au Kipande...!!?
Naomba mwenye/wenye ujuzi na Elimu ya mambo ya anga/sayari wanijuze.
Natanguliza...
Habarini za mchana wana JF, wajuzi katika jukwaa la JF Doctor.
Nimekuwa muathirika na huu mfumo wa hewa ya kutengenezwa....
Nilikuwa na weusi ambao kwa namna moja nilijivunia pamoja na kuwavutia warembo.
Nowdays nimekuwa na weupe kama mtoto wa Mama au wale wavulana wanaohisiwa ama kutambulika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.