Mwanaume aliekamilika anajisifu kwa kufanya mambo makubwa yenye tija mfano miradi endelevu ya maendeleo na siyo Kufanya Ngono hovyo na wanawake. Wewe na huyo mwenzio wote ni wapumbavu.
Ndugu zangu na rafiki zangu wa ukweli ni watoto wangu, kidogoo na mama yao ila huyu naishi nae kwa machale. Wengine wote waliobaki sina time. Tunakutana kwenye matukuo tu yanayotukutanisha.
Salaam Wadau,
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikipata hii alert kwenye moja ya simu zangu ninazotumia, simu yangu ni Redmi Note 12. Je ina maanisha nini?
Cc: Chief-Mkwawa
m-yala Subaru, Range Rover, Landrover Discovery na BMW haya magari kama unanunua used hakikisha lisiwe limetembea zaidi ya Km 50,000 Kinyume na hapo utakuja kuliuza bei ya hasara mno. Kama hujanielewa vizuri DM ipo karibu kwa ushauri zaidi.
Sasa ni mida muafaka Financial Literacy ianze kufundishwa mashuleni..Yaani babakako miaka yote hiyo alikuwa anakaa ofisini sasa kazeeka ndio mnataka muanze kufanya biashara? Wewe ni mfanya biashara au umewahi kufanya biashara yoyote ile? Ninachoweza kukushuri ni hiki, kama alishajenga nyumba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.