Kama huu ukurasa bado Voda mnapitaga napenda kuwajulisha kuwa kuna hujuma inafanyika ofisini kwenyu kwa mtu/watu walio zamu kuanzia saa kumi kamili hadi saa kumi na moja na dakika ishiri leo hii 2/11/2019.
Sitasema hapa ni ni lakini hii ni hatua ya kwanza ikiwa ni taarifa itakayofanyiwa kazi
Zaidi ya asilimia tisini ni fiction tu. Futi moja na nusuau mbili zinaishilia wapi? Kwani kuna pango huko? Vile vile nilimsikia mtaalamu mmoja redioni akionya kuwa kupendelea kuangalia hayo kuna punguza nguvu za watazamaji katika kushiriki tendo hilo wakifanya wao.
Naomba kueleweshwa zaidi kwa aliyeelewa. Uwezo ni abiria 262, tiketi zilizouzwa ni 244, za asubuhi na 158 za jioni. Maswali yanayonigonga kichwa, 1. Hao 244 na 158 ni wakwenda Mwanza, je kurudi tutarudi tupu? 2. Kama tunasuasua hivi safari ya kwanza, je tutaweza kupata abiria wa kujaza kila siku...
Haya majeshi mawili yana majuku,mu tofauti sana. Polisi ni usalama wa Raia na Mali zao, wakati Jeshi ni ulinzi wa mipaka. Pili IGP toka Jeshini unadhani ndiye atayepiga Patrol, kukaa Counter, Kupeleleza kesi? Mimi sioni kama ni suluhisho labda iwe kwa nia ya Wanajeshi kupewa wilaya na Mikoa...
Eti eeh, itakuwa watu wanakuwa condemned unheard. Ingesubiriwa chanzo cha ajali ndiyo hatua zichukuliwe. Ikiwa ni hivyo, basi dunia nzioma inahusika maana hakuna aliejitokeza kuzuia. RIP wahanga wote, majeruhi tunawaombea wapone haraka.
Naomba nieleweshwe hapa, maana naona point zinazotolewa zina lenga kitu kimoja lakini toka pande tofauti tofauti. Ina maana kuku wa kisasa huzaliwa/huanguliwa bila mama yake kupandwa na jogoo? Pili imesemwa kuwa kuku jike wa kienyeji au wa kisasa anaweza kutaga yai bila kupandwa na jogoo na...
Nimewahi kusafiri kwa basi kutoka Mwanza kuelekea njia ya kwenda Bukoba kwa kupitia kivuko cha Kigongo - Busisi. Cha ajabu ni kwamba abiria wanashushwa umbali wa karibu nusu kilometa hadi kufikia geti la kuingilia eneo la ferry. Niliuliza nikaambiwa hali hiyo ilianza tangu Hiace itumbukie ziwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.