MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,543
Naona wachangiaji wanapata taabu sana na uzi huuWabongo bwana tunapenda kweli kugeuza shilling.. zakaria ni jambazi baada ya mission kushindikana
Naona wachangiaji wanapata taabu sana na uzi huuWabongo bwana tunapenda kweli kugeuza shilling.. zakaria ni jambazi baada ya mission kushindikana
Jambazi anakamatwaga na polisi au usalama wa Taifa?Ni jambazi huyo Zacharia wenu.
Ccm bana mfadhili wa chama alikuwa jambazi???Acha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
Hahahaha vijana wa ccm ni zero brainSo alitaka kupora kwenye petrol station yake mwenyewe,hadi akafikia kujeruhi kwa risasi?
Stroke mfadhili wa chama tenaKuna watu ni zoa zoa tu, wanatetea kila jambo.
Majaji wastaafu walinena kuhusu wajibu, haki na utawala wa sheria.Hawa jamaa ni wajinga kweli wao wange muwahi si angepigwa sandarusi na kupoteza ushahidi sasa inshu yao ilibuma waka aibika ndio maana mashitaka haya yamefunguliwa
Mnafiki ni yule aliyetoa taarifa kwa Uma kwamba wale walikuwa ni maafisa usalama wa taifa.Acha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
Na yeye atakuwa ni jambaziDuh,naona umeng'ang'ania hapo hapo ni jambazi,wewe inaonekana utakuwa unamjua vizuri huyo jamaa..
haaa haaaaaa mbavu zanguuu haaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaSo alitaka kupora kwenye petrol station yake mwenyewe,hadi akafikia kujeruhi kwa risasi?
Acha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
Wewe ninawasiwasi huenda ni Kati ya wale wale. Simaliziii usije nitia katika SandarusHuyo jamaa yenu ni jambazi,
Abdul nondo alijiteka mwenyewe now huyu zakaria nae alitaka kujiibia mwenyewe,yajayo kweli yanasikitishahaaa haaaaaa mbavu zanguuu haaaaa haaaaaaaaaaaaaaaa
Ukiisha kua na Kadi ya CCM wewe ni jambazi automatically.Zakaria ni mume hivyo ana mke au wake
zakaria ni baba hivyo ana watoto achilia mbali yule aliyekuwa England au wale waliopo USA masomoni
Zakaria ni mjomba hivyo ana wapwa
Zakaria ni shameji hivyo
Zakaria ni muumini wa kanisa la Roman na mtoa misaada kanisani
Zakaria ni mwanachama wa CCM anatoa misaada chamani achilia mbali deni alilosamehe zaidi ya 36M
Zakaria ni mfanyabiashara mkubwa halali
Zakaria amewaajiri watu wengi mno hivyo wanaishi na familia zao huku wakimtegemea yeye
Zakaria ni mtoa kodi
Zakaria ANAWEZA KUWA NA MAPUNGUFU YAKE ILA PIA TUKUMBUKE NA MAZURI YAKE
sio busara ukomae tu kumchafulia jina JF ilihali hakuna unachokipata
Zakaria anamiliki visima vya mafuta, mabasi zaidi ya 50 yakiwemo mapya zero kilometers, ana vituo vya depots bia na soda, ana mgodi wa dhahabu Nyamongo, ana biashara nyingi bado mashamba
Hivi mtu kama huyu huo ujambazi ambao nimeona kuna mtu humu JF amekomalia huwa Zakaria anaufanyia wapi?
ili apate nini hasa?
siku anakumbana na hilo tukio alikuwa na kiasi tu cha fedha kutokana na biashara yake kiasi cha zaidi ya 16M
HAPANA IFIKE SEHEMU KAMA HAUNA CHA MAANA CHA KUSEMA NI BORA TU UKAE KIMYA
Mbow ni bonge la jambazi (Kumbe ccm mnawafadhiliwa na majambazi)?
Macccm yote majambazi tuAcha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.