Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,488
- 31,126
Bila kupoteza muda
nilishawahi kushauri huko nyuma jeshi LA polisi tz limepoteza credibility zamani sana
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ukiona inafaa tunaomba wakuu wa polisi watoke kwenye hazina yetu tukufu tunayoiamini ambayo ndio moyo wetu wakifa tumekufa wakiwa hai tuko hai
Jwtz
Ila tuuu wasiingiliwe na wanasiasa
Viva jwtz ziiiiiiiii wala rushwa
nilishawahi kushauri huko nyuma jeshi LA polisi tz limepoteza credibility zamani sana
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ukiona inafaa tunaomba wakuu wa polisi watoke kwenye hazina yetu tukufu tunayoiamini ambayo ndio moyo wetu wakifa tumekufa wakiwa hai tuko hai
Jwtz
Ila tuuu wasiingiliwe na wanasiasa
Viva jwtz ziiiiiiiii wala rushwa