uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,083
Binafsi walichokifanya ni sawa kama watalifikisha mwisho wake lakin watakapojirudi wenyewe afu likaisha juu kwa juu hapo ndipo kususa kunakuwa ujinga na utoto,
Kususa ni tofauti na kukimbia matatizo na hasa kwenye nyanja ya siasaNi tabia ya kitoto kwenye vyama wanawake wamo We do not run away from problems instead we face and overcome them
Ajabu hata mpira wenyewe hugusi yaani we unatakiwa uwepo tu uwanjani basi ukifungwa goli unachukua mpiara unaweka kati wao wanaanzisha wenyewe unafungwa goli lingine unafuata mpira unaweka kati wanaanzisha tena afu bado unaacha shughuli zako unaenda uwanjani ka sio ujinga ni nnHuwezi kutumia nguvu zako kuingiza timu huku ukijua tayari mshindi ni fulani sio ushindi tu ila ameshinda kwa hila na hizo hila ulizijua kabla ya kuingiza timu uwanjani na huna namna ya kuzizuia hizo hila maana adui yako ndio kila kitu..
Yeye ndio huamua nani waamuzi wa mechi, yeye ndio hulipia mashabiki hela za kiingilio, yeye ndio hulipia gharama za matangazo, yeye ndio huchagua kiwanja, yeye ndio hupanga mpaka aina ya jezi na vifaa vyoote.
Wapinzani mkiendelea kulialia na kucheka cheka hakuna siku mtafanikiwa, Tafuteni njia nyingine ya kupambana na adui..
Hata chadema ikifa au turudi kwenye chama kimoja upinzani utakuwepo tu huo ndo uhalisiawe endelea kumnukuu kinana ila lililowazi ni kuwa upinzani utakuwepo bila kujali nani yuko upinzani usijidanganje kwa kuwa hata MUNGU alipata upinzani na wala hakuutokomeza na ndivyo ilitakavyokuwa kwenu ntajitahidi lakini hamtaweza kuzuia UHALISIA WA DUNIA
TruthNaona mambo ya kususa yanarudi!.
Watu wakisusa, wengine twala!.
Ila uamuzi huu wa Chadema ni wa busara, kwa chaguzi zote za maradio, nashauri sio tuu Chadema wajitoe, bali vyama vyote wajitoe ili CCM ipite bila kupingwa tuokoe muda, fedha, rasilimali za taifa na kitu kikubwa zaidi, tuokoe machozi, jasho na damu zenye roho za Watanzania.
P.
I personally respect your opinions but sometimes you are completely out of scope!!Wanabodi,
Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.
The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.
My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.
1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.
Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.
Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'
Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.
Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.
Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums
Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums
Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums
Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
Kununuliwa siyo lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa.Kwanza hiyo ni siri kati ya mnunuzi na mnunuliwa so usingeweza kuja hapa kukiri kununuliwa.Mkuu The Big Boss, naomba nikuhakikishie katika maisha yangu yote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Paskali, hanunuliki na yeyote kwa lolote kwa sababu hana price tag. Mimi ni priceless, sio CCM wa Chadema, wala Ukawa, wala Lowassa wala Magufuli, ana uwezo wa kuninunua, kwa sababu I'm not for sale, na sina any price tag!.
Naomba uniamini hili ni swali tuu, nimeuliza hawa wanaosusa, wamesusa ili wapate nini?!.
Ni swali tuu.
Paskali
Huyu Mayalla amini usiamini kwa sasa ubongo wake uko controlled pale Lumumba. Yuko ktk mradi maalumu, kwa sasa yeye si mtanzania ni mgeni wa kinachoendelea nchini.I personally respect your opinions but sometimes you are completely out of scope!!
Kwa mazingira wanayopitia wapinzani ni magumu mno,kwa maoni yangu,watu wenye weledi wa kufikiri na wenye kuamini kwenye demokrasia na utawala wa sheria wangeungana na upinzani na sio kubez wala kuuliza maswali ya kinafiki(rhetoric questions)
Hakuna aliyesalama na mfumo na wala tusiwachie wapinzani??.Kwa hali ilivyo huhitaji kuhadithiwa shuruba wanazopitia wapinzani.Mimi nawaheshimu sana akina Mbowe pamoja na mapungufu yao as long wote tunamapungufu!!!
Tusibeze tukifikiri sisi hayatuhusu!!!
Kama kuanzia Jaji Mkuu na majaji wote wanateuliwa na rais, na bado Chadema inapata haki mahakamani, why not Tume?!. Bungeni ndani ya bunge hili kuna wabunge zaidi ya 100 wa upinzani, lakini kwenye bunge la 2020, akifanikiwa kuingia mbunge, then ni mmoja tuu Zitto!, na hii sio issue ya NEC bali Magufuli ni game changer, someni hizi nyuzi hapa chini, kitu muhimu muangalie ziliandikwa liniKununuliwa siyo lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa.Kwanza hiyo ni siri kati ya mnunuzi na mnunuliwa so usingeweza kuja hapa kukiri kununuliwa.
Pili, tume huru ni tume ya aina gani? Utakuwa kichaa kusema iliyopo Tz ni tume huru. Pascal anajitoa fahamu makusudi sijui labda anamfurahisha bwana wake. Viongozi wa Tume wameteuliwa na Raisi ambaye ni Mkiti wa Ccm wataachaje hawa kutekeleza matakwa ya aliyewateuwa. YAANI MECHI YA SIMBA NA YANGA REFA NI HAJI MANARA kisa tu eti kuna sheria 17 za soka basi Manara hawez kuwabeba simba. Ukichaa.
Tunawatambua watu kwa matendo yao.kwahiyo huna haja ya kujieleza sana kwa sisi watu tuliosomea sayansi ya akili.Hayo maelezo yako yafaa uwaeleze watoto wa chekechea au vichaa.Mkuu The Big Boss, naomba nikuhakikishie katika maisha yangu yote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Paskali, hanunuliki na yeyote kwa lolote kwa sababu hana price tag. Mimi ni priceless, sio CCM wa Chadema, wala Ukawa, wala Lowassa wala Magufuli, ana uwezo wa kuninunua, kwa sababu I'm not for sale, na sina any price tag!.
Naomba uniamini hili ni swali tuu, nimeuliza hawa wanaosusa, wamesusa ili wapate nini?!.
Ni swali tuu.
Paskali
U DC unanukiaWanabodi,
Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.
The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.
My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.
1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.
Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.
Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'
Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.
Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.
Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums
Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums
Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums
Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
Yaani uhuru ambao, tayari ulikuwa mezani.Waingereza walifanya vituko vingi ili TANU wasusie chaguzi muhimu hasa ya kura tatu Urambo 1958 lakini Nyerere na wenzake walikomaa na 1961 Uhuru ukapatikana.