Wamekurupuka kama kawaida, hio sio solution ya kuzuia uhalifu... Na saiv uhalifu unafanywa na bodaboda not magari, Yaani wameboooaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli akili ni nywele, Bashite fuga nywele zaidi ili uweze kufikiria mambo kwa weledi... Acha kukurupuka, unanichosha na maamuzi yako ya kibashite... Ziro brain...
Pole sana mkuu, hiyo ni roho ya kukata tamaa, kama ugumu wa maisha ni asilimia kubwa ya watanzania sio wewe pekee, kama umefukuzwa kazi wewe sio wa kwanza kufukuzwa, isitoshe mshukuru Mungu kwa hilo maana hujui umeepushiwa kitu gani, swala la kufungwa sidhani kama lina mantic kwani katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.