Kwa hili Rais Magufuli usije kumtafuta mchawi!!

Ametenda KOSA LA JINAI... Ameghushi vyeti na kutumia utambulisho BATILI..

Kama unaona ni ushabiki basi, tunamtaka atoke hadharani athibitishe vinginevyo kama walivyofanya wengine waliokumbwa na tuhuma kama hizo..

Aseme yeye sio DAUDI ALBERT BASHITE???????
Yani ndio maana tunasuasua sana kwenye maendeleo kama taifa na nyanja muhimu kama elimu na afya

Kwa sababu watz wengi tuna umaskini wa fikra,hatujui kufikiri kabisa tuna akili mgando kupita kiasi

na wapo watu wengi sana wasioliona kosa mpaka muda huu

Wanachanganya qualification za kuwa RC na la vyeti batili
 
Haina haja kwa sab mwanasiasa kufoji kwake cheti kuna kuwa na kosa moja tu LA kufoji cheti ambalo ni LA jinai na polisi ndio wahusika wakuu lkn kuhakiki kwa taaluma nyingine zaidi ya jinai kunaathiri afya za watu iwapo doc au nesi kafoji cheti kunaathiri elimu ya watu iwapo Mwalimu amefoji cheti kutaathiri ujenzi iwapo engineer amefoji cheti kutaathiri haki za watu iwapo Hakimu au mwanasheria amefoji cheti n.k lkn mbunge akifoji cheti akachaguliwa ataathiri nini wakati ubunge unahitaji elimu ya kuanzia kusoma na kuandika tu? Bali atabaki na kosa LA kijinai ambalo halichagui whether ni mwanasiasa ama la.

Kwa akili zako mbunge hatoathiri jambo lolote? Mkuu wa mko/wilata hatoathiri jambo lolote? Hivi Makonda angekua na elimu halali mipango yote aliyobuni angetekeleza,ila kwa ukihiyo wake hawezi kutekeleza jambo lolote.
 
Magu anacheza na akili za watanzania.anatufanya mazoba.Rushwa ikifanywa na wana ccm ni halali.ikifanywa na wasiomuunga mkono jinai.wateule wake ni halali kufoji vyeti.wasio wateule wake jinai.Wewe magu tafadhali usicheze na akili zetu.
 
Mwanasiasa ana forge cheti anakua mbunge baadae waziri ana simamia wizara ina wataalamu wenye vyeti original ama kweli dunia gunia
 
Haina haja kwa sab mwanasiasa kufoji kwake cheti kuna kuwa na kosa moja tu LA kufoji cheti ambalo ni LA jinai na polisi ndio wahusika wakuu lkn kuhakiki kwa taaluma nyingine zaidi ya jinai kunaathiri afya za watu iwapo doc au nesi kafoji cheti kunaathiri elimu ya watu iwapo Mwalimu amefoji cheti kutaathiri ujenzi iwapo engineer amefoji cheti kutaathiri haki za watu iwapo Hakimu au mwanasheria amefoji cheti n.k lkn mbunge akifoji cheti akachaguliwa ataathiri nini wakati ubunge unahitaji elimu ya kuanzia kusoma na kuandika tu? Bali atabaki na kosa LA kijinai ambalo halichagui whether ni mwanasiasa ama la.

Hao wote uliowasema wanaongozwa na Mwanasiasa.Kama ni Gari mwanasiasa ni Dereva kwa hiyo kosa la Dereva lina gharama kubwa sana.

Mwanasiasa ndio anatakiwa awe mwadilifu kuliko wote.Nadhani kufoji huku kwa wanasiasa ndio kunasababisha tusiendelee na hakika wasipodhibitiwa hatutaendelea kamwe.
 
Kuna ndg yangu anaishi SA, basi December akataka kurudi bongo kuishi kisa ana kamtaji ka 40m TShs! Nikamuambia ashike adabu yake, kama anataka undugu ufe basi ajaribu kurudi Bongo! Siku hizi akipiga simu ananishukuru kwa msimamo wangu!
Ulimshauri jambo la maana
 
Kama bashite hakabidhi office na sisi 9,000 hatuondoki maofisini. Lazima tuondoke na bashite piga ua galagaza.
 
Umejibu usichokielewa, hakuna mahala nimesema kuna wanasiasa wenye vyeti vya kughushi note that, wao ndo wametuambia leo kuwa uhakiki haukuwahusu wanasiasa au wateule wa rais kama RCs na DCs swali kwa nini? Wao si watumishi wa umma?
Kama ulimsikiliza Ndalichako alisema report ya Mawaziri, Maktibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya itatoka tarehe 05/05/2017, na alichosema Kairuki ni kwamba report aliyosoma leo inawahusu watumishi wa kada nyingine tofauti na wanasiasa.
Lakini napata wasiwasi kuhusu ukaguzi wa hao wanasiasa naona kama Kairuki anamuogopa President naona kama wanajua kuna kitu flani kinaendelea kati ya Bashite na President, sema Ndalichako naona kama anataka kujilipua lakini kwa mbali na ninahisi Ndalichako anamfahamu vizuri Magu na amuogopi kisana kama Kairuki anavyoonyesha
 
Hao wote uliowasema wanaongozwa na Mwanasiasa.Kama ni Gari mwanasiasa ni Dereva kwa hiyo kosa la Dereva lina gharama kubwa sana.

Mwanasiasa ndio anatakiwa awe mwadilifu kuliko wote.Nadhani kufoji huku kwa wanasiasa ndio kunasababisha tusiendelee na hakika wasipodhibitiwa hatutaendelea kamwe.
Kama kuna mwanasiasa amefoji cheti peleka ushahidi acha kulia lia. Hakuna mwenye kinga ya kushitakiwa zaidi ya Rais aliye madarakani na mstaafu tu. Nimesikia mstahiki meya wa ubungo ana ushahidi wa kufoji cheti dhidi ya makonda lkn badala ya kupeleka mahakamani au polisi kapeleka kamati ya maadili ya uongozi ambalo hakuna adhabu ya jela. Upinzani unalea wahalifu nchini kwanini wana uhakika kuwa makonda ni bashite lkn wanaukalia ushahidi?
 
Ametenda KOSA LA JINAI... Ameghushi vyeti na kutumia utambulisho BATILI..

Kama unaona ni ushabiki basi, tunamtaka atoke hadharani athibitishe vinginevyo kama walivyofanya wengine waliokumbwa na tuhuma kama hizo..

Aseme yeye sio DAUDI ALBERT BASHITE???????
Kwakuwa hajafanya hivyo mpaka Leo kwanini usiende mahakamani ili alazimishwe kufanya hivyo?
 
Kama kuna mwanasiasa amefoji cheti peleka ushahidi acha kulia lia. Hakuna mwenye kinga ya kushitakiwa zaidi ya Rais aliye madarakani na mstaafu tu. Nimesikia mstahiki meya wa ubungo ana ushahidi wa kufoji cheti dhidi ya makonda lkn badala ya kupeleka mahakamani au polisi kapeleka kamati ya maadili ya uongozi ambalo hakuna adhabu ya jela. Upinzani unalea wahalifu nchini kwanini wana uhakika kuwa makonda ni bashite lkn wanaukalia ushahidi?

Ushahidi upelekwe wapi kama wanasiasa ambao ndio kila kitu wamekataa?.

Mahakama na Polisi hawawezi kufanya kitu kama wanasiasa wamekataa.

Nimekwambia tutaendelea pale wanasiasa watakapojitambua na hii itatokana na Wananchi kujitambua na kuchagua na kuhakikisha wanasiasa waliowachagua wanatangazwa kuwa washindi.
 
Back
Top Bottom