Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,083
- 74,513
Great thinking for a gret thinkerGari ni kitu cha msingi lakini si cha lazima, hakuna aliye pata aibu kwa kukosa gari. Mwanaume anaweza ukapatwa na aibu pale tu itakapoonekana alikuwa na pesa na hakujenga nyumba. Nafikiri gari siyo kilele cha mafanikio ya mwanaume wala siyo kipimo cha kutofanikiwa pia.