Mimi nimtumiaji wa ving'amuzi vya easy tv kwa muda mrefu na ni vingamuzi vizuri saaana na channel za local zipo[Tz]zote.
Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza vocha zao. Nimehamia kigamboni hakuna mawakala kabisa. Nawashauri uongozi kama wanapita huku wasambaze...
CDM wameingia muafaka na CCM, Ni muafaka wa kwanza kabisa duniani usio na mazungumzo ya pande mbili zinazovutana. Kwa hili inatuonyesha ni jinsi gani chama hiki kimewasahau wahanga wal6waga damu yao wakidhani wanapigania umma kumbe ni njaa inawasumbua. Hongeren CUF mliweza kuwa wavumilivu...
Makanisa ni vichaka vya wahalifu., Mbona hata DECI ilikuwa miradi ya makanisa iliyowaibia waumini. Ukiristo upo mashakani leo kwani wenyemacho washajua hii ni biashara ya asubuhi. Bwana asifiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.