Search results

  1. Shareef Conscious

    Kwanini si vyema kubeza juhudi za mtu

    Kuna tabia imekuwepo kwa miongo kadhaa, pengine hata karne sasa Nasema karne, japo ki umri ndio kwanza nipo theluthi moja ya karne Ila nafahamu Tabia za mwanadamu hazibadiliki ingawa mazingira pekee ndio hubadilika Juhudi chanya ndizo nilizokusudia hapa Mnamo mwaka 2001 huko malawi, mvulana 1...
  2. Shareef Conscious

    Laptop inauzwa

    Hp notebook Ram-4GB Hard Drive_500Gb Display-1366*768 Batter life-11Hrs Batter type-Replaceable Bei - 350K Haina damage yyte, imetumika 5 months Shortly ni km mpya tu Namba-0764 372652/0626 579795
  3. Shareef Conscious

    Kiwanja kinahitajika Mwanza

    Kama kuna kiwanja kinapatikana maeneo ya Mwanza mjini/karibu na mjini, kiwe kipo sehemu nzuri. Contact namba hizi: 0764 372 652 0738 661 897 Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Shareef Conscious

    Mtaji wa Shilingi milioni moja unatosha kufanya biashara ya kuku?

    Kwema wana JF! Natafakari ikiwa mtaji wa Milioni moja waweza tosha kwa kuanzia biashara ya ufugaji,km yupo mwenye experience zaidi na biashara hii anisaidie kufunguka zaidi ili nijue hii industry ina ugumu zaidi wapi, na makadirio ya chini ya kuanzia inagharimu zaidi ya hapo? Shukrani Sent...
  5. Shareef Conscious

    Yawezekana ama kuna nguvu za ajabu katika hili

    Licha ya kuonyesha mtizamo wangu ktk hili,ila sijajifunga ktk box hivyo niko huru ktk kufikiri juu ya fikra za wengine,maoni na mitizamo yao ktk hili
  6. Shareef Conscious

    Muujiza au Sayansi?

    Elimu ni pana,japo nimeshatanguliza mtizamo wangu juu ya hilo ila niko OPEN MINDED
  7. Shareef Conscious

    Nini dawa ya kutokwa damu puani kunakoambatana na maumivu makali ya kichwa?

    Salama jamani? Kuna ndugu yangu ana tatizo la kutokwa damu puani na hali hii huambatana na maumivu ya kichwa. Hivyo naomba kama kuna yeyote anayefahamu dawa ya hali hii asisite kunijuza/kutujuza hapa(Na kwa faida ya wengine pia) Iwe ni dawa ya kienyeji ama ya hospitali tutashukuru Akhsanteni
  8. Shareef Conscious

    Kwa hizi dalili, huu ni ugonjwa gani? Msaada wa haraka unahitajika

    wamekufa kuku 2,na sijajua haswa niwapatie Dawa ipi kwakua sijajua ugonjwa wake DALILI Wanakunya kinyesi cha kijani+cheupe wanasinzia sinzia Wanatoa udenDa Tafadhali kwa mtu anayefahamu ni ugonjwa gani anitaarifu na ni Dawa ipi ya kuwapatia Akhsanteni
  9. Shareef Conscious

    The story of O J

    Ktk album ya Jigga 4:44 kuna hii ngoma na jina LA ngoma tu lilivyo nilihisi ni story ya MTU kwa hilo jina so nikaipakua kusikiliza nini haswa kimezungumziwa,Na kwa asilimia kubwa haikuwa km nlivyofikiri awali,Na niliona nimtafute hyu O J mtandaoni nisome wasifu wake Nimesoma japo kikubwa kuhusu...
  10. Shareef Conscious

    Blender inauzwa

    Aina-Kenwood Ukubwa (Ujazo)-1500ml Imeshatumika mwezi 1 UBoRA-100% #UBORA100% Mawasiliano-0673462218 Sent from my GT-S6790 using JamiiForums mobile app
  11. Shareef Conscious

    Kwanini ni vigumu kugawa zawadi uliyopewa?

    Nimepata kigugumizi ktk hili nisijue kipi cha kufanya, Hivyo nikaona nisogeze hii kitu Hapa walau mnifungue kiakili/kimitizamo zaiDi Ni kwanini kitu ulichopatiwa kama zawaDi na Mzazi, rafiki, nDugu, Ofisi, taasisi n.k si Vizuri nawe kukitoa kwa mtu Mwingine iwe kililetwa katika Upya wake ama...
  12. Shareef Conscious

    FRIJI INAUzwa

    Aina-Von point Uwezo mkubwa wa kuhifadhi vitu kwa muDa mrefu Urefu;METRE 2 KASORO Mahala-Mwanza Simu; 0625795163
  13. Shareef Conscious

    Mwenye taaluma na Hili AGUNGUKE

    Ni sababu zipi hasa zinazopelekea watoto wanaozaliwa kabla ya muda wao(NJITI) kuwa salama zaidi wakiwa na miezi Saba,tofauti na atakayetokea kuzaliwa akiwa miezi Nane? MSaada wakuu taadhali
  14. Shareef Conscious

    Wakati tunaouona usiku, viumbe wengine wanauona ni mchana

    Aina ya wanyama km Chui,Paka,kalunguyeye au wadudu km mende n.k wana uwezo mkubwa wa kuona wakati wa usiku.. Binadamu uwezo wake wa kuona sawia ni wakati kuna Mwanga(Mchana au Usiku) HIVYO;** Ukimuweka binadamu ktk Giza totoro hawezi kuona,Ukimuweka kalunguyeye(Jamii ya Nungunungu) ktk Giza...
  15. Shareef Conscious

    Kweli hii ingeweza tokea!!

    Adam&Eve.. Wanadamu wa kwanza kutia nyayo zao ktk uso wa Dunia na kutengeneza vizazi na Vizazi kutoka nyakati ambazo ni ngumu Hata kujua ilikua ni mwaka gani! Bado ni ngumu hata ukiweka katika makadirio, na utajua ni ngumu zaidi kama ukitaka kufahamu juu ya MFUATANO WA VIZAZI KATIKA UKOO...
  16. Shareef Conscious

    Ubongo wako

    Uwezo wa Ubongo wa Binadamu katika kuhifadhi kumbukumbu ukubwa wake ni 2.5 pentabytes UKUBWA HUU NI SAWA na KUREKODI VIPINDI VYA TELEVISHENI KWA ZAIDI YA MIAKA 300, hapa namaanisha ni sawa na wewe leo uanze kurekodi vipindi vyote vya East Africa television kwa muda usiopungua miaka 300 ndipo...
  17. Shareef Conscious

    Sasa ni muda wa michezo mingine pia kupatiwa nafasi

    Umuhimu wa michezo kwa miaka mingi umekua ukihusishwa na faida za kiafya, kujipatia kipato, kutambulika mahala tofauti Duniani na hata sifa nzuri kwa Taifa. Kwa hapa kwetu Tanzania kwa miongo mingi sana Michezo imekua na umuhimu wa kipekee kwa upana wake hasa hasa kwa Taifa na wanamichezo...
Back
Top Bottom