Habari za mchana.
Natumaini mko na afya njema.
Nahitaji kujua napata wapi usafiri (basi) wa kwenda Lindi kutokea Dar es Salaam, najua humu kuna watu wengi na wenye maarifa mengi hivyo nimeona niwashirikishe kwa faida yangu na wengine.
NB: Nikipata taarifa kampuni gani iko vizur na bei zake...
Before nyumba zote hizo zilikuwa chini ya halmashauri ya jiji ndipo zilipogawanywa kwa kila halmashauri kupewa nyumba zake. Ndio maana temeke anamiliki nyumba ambazo zipo ndani ya halmashaur ya kinondoni
Kuna siku nilikuwa naangalia mpira zaman kidogo (sijui ilikuwa ligi gani) kuna mchezaji akawa na hilo jina... Na kwa kuwa linaendana na jina langu halisi nikalipenda kulitumia kama nickname
Tecno W3 is one of Tecno’s latest phones. This phone runs on Android 6 (Marshmallow), making it not fully supported by rooting apks at the moment. This brief guide will explain how to flash TWRP and root the Tecno W3. You can view the Specs of the Tecno W3 at
Tecno W3 Specifications
How do I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.