Waungwana hongereni kwa kuhitimisha mfungo wa Ramadhan kwa wale walio swali Idd leo,na pia nawatakia maandalizi mema kwa wale watakaosheherekea Idd kesho.Sitarajii kujadili au kuibua mjadala wa kwa nini wengine wanaswali Idd leo na wengine kesho.Kwa kupitia mijadala na machapisho mbali mbali...
`Kufuatia kifo cha baba mzazi wa Juma(sio jina halisi)tunaomba michango ya rambi rambi itumwe kwenye namba xxxxxxxx kwa kadri ulivyoguswa....................`Ni ujumbe uliotumwa kwenye group moja la Whatsapp likiwataka wanachama wake watoe michango ya rambi rambi.Sina shida na michango ya rambi...
ili kuokoa muda kwenye mjadala unaoendelea bungeni juu ya jinsi ya kupiga kura za maamuzi.nashauri wabunge kwanza wapige kura ya wazi kuamua aidha kura ziwe za wazi au za siri,kisha wapige kura za siri kwa jambo hilo hilo halafu walinganishe matokeo.mjadala utaisha.ni mtazamo tu.
Mara nyingi nimekuwa nikisikia wasichana wakilalamika kuwa wao ni rahisi kurubuniwa na wavulana/wanaume wasipokuwa na pesa kwa sababu wao wana mahitaji maalum.wanafunzi wasichana wamekuwa wakilalamikia bodi ya mikopo ya elimu ya juu wakipaza sauti kuwa wao wana mahitaji zaidi kuliko wenzao...
Imekuwa ni kawaida kusikia watu wazima wakijiita yatima eti kisa ni kufiwa na wazazi..........Ninavyojua mimi msingi wa uyatima unaanza pale ambapo mtoto anapofiwa na mzazi/wazazi wakati akiwa chini ya malezi ya mzazi/wazazi.Hivyo kijana mwenye zaidi ya miaka 18 au 23 kama bado anasoma,hastahili...
Taratibu za imani ya kiislam zinaruhusu wanaume wa kiislam kuoa mpaka wanawake wanne.Ukiongea na wanawake wengi wa kiislam huwa hawakubali na hata wakikubali wanakubali kwa shingo upande ndoa za mitala.Hii inamaanisha utashi binafsi wa mtu unapelekea imani kuwa kitu cha pili.Kwa nini tusiikubali...
Jana katika pitapita zangu nilikutana na mwanamke aliyebeba mtoto mgongoni akiomba msaada kwa wasamaria wema ili mtoto wake akatibiwe malaria.yule mama alikuwa akilalamika kuwa mtoto wake pamoja na yeye hawakula toka jana,baba wa mtoto kamkimbia.nilipojaribu kumdadisi zaidi nikagundua kuwa yule...
Jana usiku nilikuwa naangalia taarifa ya habari star tv,ambapo kulikuwa na habari ya mtoto michael lazaro ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi nyegezi b(mwanza) akimtafuta baba yake mzazi anayeishi iringa,kukimbia mateso ya mama wa kambo.kwa mujibu wa habari,mama mzazi wa michael...
Hivi majuzi nilibahatika kutembelea dodoma,off course dodoma inakua kwa kasi mno hongera kwa hilo.kilicho nipelekea kuomba muongozo ni kuwa kwa muda wote niliokuwepo dodoma,kuanzia tarehe 17/8 mpaka tarehe 21/8/2011 umeme haujawahi kukatika...........nilipohoji wakazi wa dodoma wakaniambia kuwa...
habari wana jamvi,hivi wabunge wote wanaochangia bajeti na kudai kuwa wanaiunga mkono bajeti mia kwa mia tena kwa msisitizo halafu wanaikosoa ni kwamba hawajui hesabu au wasiposema hivyo wataonekana wanaipinga serikali?..................nadhani umefika wakati wabunge wanapaswa kujua kazi...
Habari wana jamvi, hivi wabunge wote wanaochangia bajeti na kudai kuwa wanaiunga mkono bajeti mia kwa mia tena kwa msisitizo halafu wanaikosoa ni kwamba hawajui hesabu au wasiposema hivyo wataonekana wanaipinga serikali?..................nadhani umefika wakati wabunge wanapaswa kujua kazi...
Wakuu habari,naomba mnijuze juu ya uhusiano wa maziwa na dawa/sumu..........huwa nasikia kuwa maziwa huwa yanatoa sumu mwilini ambapo ikitokea mtu kanywa sumu huwa anapewa maziwa ili kuondoa hiyo sumu,lakini pia huwa nasikia kuwa unapotumia dawa yoyote hautakiwi kunywa maziwa kwa sababu huwa...
Hivi kwa mfano mimi nimejenga nyumba na nikaipangisha kwa mtu halafu likatokea tatizo kwenye hiyo nyumba;labda kuungua moto kulikosababiswa na uzembe wa mpangaji; wakati ambapo kwenye mkataba wa upangaji hakuna kipengele kinachozungumzia cases kama hizo,nani anakuwa responsible?Na anabanwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.