NEGLIGIBLE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 354
- 92
Hivi kwa mfano mimi nimejenga nyumba na nikaipangisha kwa mtu halafu likatokea tatizo kwenye hiyo nyumba;labda kuungua moto kulikosababiswa na uzembe wa mpangaji; wakati ambapo kwenye mkataba wa upangaji hakuna kipengele kinachozungumzia cases kama hizo,nani anakuwa responsible?Na anabanwa kwa kipengele gani?Kumbuka nyumba husika haina bima.