Moja ya Tatizo kubwa la nchi yetu, ni kuwa na watawala au viongozi kwenye Serikali ambao hawana misimamo ya kisera, Itikadi na falsafa. Na kwasababu hata chama Tawala chenyewe kimeshapoteza dira yake katika misingi ya itikadi yake. Chama cha CCM hakitendi au kuenenda sawasawa na itikadi ya chama...
1. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano...
Sheria ya Usalama wa Taifa (TISS) iliyopitishwa na Bunge la Tanzania.
1. Sheria hii imewapa Kinga (Immunity) maafisa wa Usalama wa Taifa dhidi ya makosa ya Jinai kutokana na majukumu yao. Masharti haya mapya ni tofauti na masharti ya sheria hii kabla ya mabadiliko haya, ambapo maafisa wa...
Wakati Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar kikijipambanua kupitia sakata la Bandari kumtetea Rais Samia kwa misingi ya Uzanzibari, Kiongozi wa chama hicho Ndugu Zitto ametumia mwanya huo wa kimsimamo kutetea Mradi wa DP World wa Bandari za Tanganyika chini ya kivuli cha Faida za bandari na mtazamo...
tatizo tulilo nalo sisi watanzania hatutaki hata kujiuliza maswali yale ya kawaida sana na ndo maanatumekuwa tukifeli sana somo la hesabu hivyo basi kama mwanafunzi mzuri wa biblia utajua kwamba swalala kuwepo mitume tena wengi zaidi sana nyakati hizi za mwisho ni kibiblia kabisa nikwakutokjua...
WANAJF ACHANENI NA HUYU MPUMBAVU NA MJINGA WA KWANZA LA MSINGI THREAD YA MAANDAMANO YA KIMAPINDUZZ IKO WAPI AM ONLY FOR WAR AGAINST HAYA MAFISADI YA KIROHO CHADEMA SONGA MBELE:lol::spider:
:A S 20:Jiuzulu mwenyewe kwenye hii forum wewe ulo pungukiwa na upeo wa kufikili na hila zako binafsi kisha uanze kumshauli jk aondeke kwanza kabla hayajamkuta ya muubarak fisadi mtoto we koma kabisa kusema jasili mwelevu na shujaa .mungu ata waonyesha mwaka huu
Jiuzulu mwenyewe kwenye hii forum wewe ulo pungukiwa na upeo wa kufikili na hila zako binafsi kisha uanze kumshauli jk aondeke kwanza kabla hayajamkuta ya muubarak fisadi mtoto we koma kabisa kusema jasili mwelevu na shujaa .mungu ata waonyesha mwaka huu
MRADI HUO AMBAO ULILETA MAUSIANO MABOVU KATI YA KANISA LA KAKOBE NA SE LIKALI KUNA TETESI[ RA] NDIO ALIEPEWA HIYO TENDA NA ZAIDI YA BILION 66 ZIMETUMIKA NA MPAKA SASA UMEGOMA KUWAKA KIASI KUSHINDWA KUUZINDUA NA KWA KUPOTEZA LENGO WAMEONGANISHA UMEME KUTOKA MOROKO KWA AJILI YA KITUO HICHO JAPO...
Dance tu na ufuska ndio ndio ana maalifa yakutosha ana kana hawajui dowans basi amkane na mkwewe na kimwana wake jk ni kama mbwa mwitu mwenye ngozi ya kondoo na hizo kauli zake awaambie wanachama wake wajinga na wapumbavu walio logwa :a s 20:
WEWE UMELOGWA NA KAMA WEWE SIO BASI BABAKO NI FISADI AU BASI UME IKOSA ELIM YA CHUO KIKUU ELFU 5000 KWA MAITAJI YA LEO NI SAWA NA 0 HIVYO WANA MADAI YA MSINGI NA WADAI MPAKA KIELEWEKE:msela:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.