duh! sijui hata niseme nini, huyo mzee amelogwa tena sio na wachawi, kalogwa na shetani mwenyewe. pole sana ndugu yangu. Jenga nyumba sehemu nyingine uhamishe familia nzima muachieni huyo mzee na hiyo nyumba anayoona yake. Dunia itamfunza
kama wewe ni muumini wa kikristo fanya maombi kila siku, wakati unafanya maombi, tamka kwamba unakataa ndoto mbaya na unajitenga na roho zote za mauti, maana sasa hapo hiyo ni roho ya mauti inakuandama. tamka tu kila siku kwamba "najitenga na roho za mauti na ndoto za wafu" baada ya muda...
pole sana kwa msiba mkuu, hata hivyo spiritually sio vizuri kumuota mtu aliyekwisha tangulia mbele ya haki, tena mbaya zaidi unaongea nae. sio vizuri kwa hiyo tafuta spiritual help hasa maombi, jitenge na roho za mauti, maana hakuna ushirika tena baina ya wafu na walio hai. chukua hatua kabla...
Habari za asubuhi wakuu, natafuta mdada wa kazi za nyumbani, mkoa wa Arusha, awe mtu mzima kidogo anayejielewa na ajue kazi zote. nyumba ina watu 4 tu. baba na mama na mabinti wawili wa secondary. mshahara elfu 80 akionekana anajua zaidi itaongezeka Kadri muda unavyosonga.
serious anione DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.