Baby k
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 320
- 124
Yote majibu sahihi
Mbaya zaidi na wewe utakuta ni mke wa mtu au unataka kuwa mke wa mtu.
Mbaya zaidi na wewe utakuta ni mke wa mtu au unataka kuwa mke wa mtu.
Yani umenioa wew kutwa kuwakaza nje mm hunikazi inavyotakiwa, sasa nimepata kiserengeti nje kinanyonya mpaka nafika kilelen uwii show ya kibabe kwann nisikazwe nje aaah subutu
Hii kitu imeshika kasi sana nowadays. Omba Mungu tu asikuletee maradhi , nasi wanaume pia tutulie na wenza wetu. Wanaume sisi ndio chanzo kikubwa cha haya mambo
Wao wakitukatalia tungefanya !! Kwanza wao wana tushawishi kwa vijinguo vyao vya sikuizi !!Hii kitu imeshika kasi sana nowadays. Omba Mungu tu asikuletee maradhi , nasi wanaume pia tutulie na wenza wetu. Wanaume sisi ndio chanzo kikubwa cha haya mambo
Na sisi wanaume ndo chanzo, unamchezea msichana wawatu halafu unafika mda unamwacha, swali unamwachia nani aoe?
Wewe unamfata wa Nini na unajua fika Ni mke wa mtu? Ukitaka kubadili Jambo Anza na Wewe mwenyewe!Binafsi lawama zote nawamwagia wanawake! Hebu fikiria, ukimfuata mwanamke na akakwmbia SIKUTAKI utajisikia tena kumtafuta? Ila sasa hivi ukimfuata mke Wa MTU, atakwbia eti NITAKUPA JIBU, jibu gani atakupa? Yeye anajua kabisa ni mke Wa mtu, Anaenda kufikiria jibu gani? si akwambie hapo hapo kuwa hakutaki? So sad kwa kweli ndoa za sasa hivi
Asilimia kubwa wake za watu wanatoka na waume za watu.Kwani hao wake za watu wanafanywa na nani?