Kampeni ya kuikataa Vodacom

Unajua mgunduaji wa bulb alifanya majiribio mara ngapi mpaka kufanikiwa ? Sembuse huyo Lema na Mangi ambao wamejaribu mara moja tu. Siyo kila jaribio lazima lifanikiwe ka mara ya kwanza. Jielimishe mkuu usiwe kama watu wa lumumba
Kwa akili yako unafikiri nani anmuhitaji mwenzie kati ya voda na mtz?
 
Wewe akili zako zilishafungiwa kwenye box hapo ufipa ndio maana haya mambo ni makubwa mno kwako kuyaelewa!

Kukusaidia tu acha kabisa kutumia simu

Niache kutumia simu,says who?

Crimea?

Get tha fvck outta here!

Watu tuna end-to-end encryption,sio wewe unatumia basic level com!

Watu hatulingani,jilinganishe na hewa wenzio!

Tuseme mimi wa Ufipa,wewe wa Lumumba,still you are broke living!

Upo serikalini na unampa B-job Jiwe kila siku ila you in hell hole still!

When are you coming out that hell hole shining and glistening like us free agents?
 
Udukuzi unaofanywa kwa lengo la kubinya demokrasia ukatazwe

Ila nadhani hii kampeni itabidi ifanikiwe kutisha kampuni zingine kulinda maslahi za wateja

Mkuu

Vodacom inajinyea sasa hivi shitlessly!

Ndio maana wanakimbilia ma press releases nk.Wanepaniki matak0 yao!

Hata kama idadi ya watu haitapungua tayari brand yao ishakua mavi!

Zamani tulikua tukisikia neno Vodacom watu wanawaza very excellent company,ila sasa mtu akisikia Vodacom anajua this is evil!

Na hii itakua na effect kwao going forward!

Rate ya new subscribers itapungua!

Tigo is overtaking them now!

Vodacom mas3ng3 sana!
 
Kwa kuwa VODACOM wamekiri kuwa wanashirikiana na watu wasiojulikana ambao wameshindwa kuwataja kwa majina yao walio toa Amri kumzimia mawasiliano Kabendera.

Na kwa kuwa Voda wameamua kuacha Biashara yao halisi na sasa wamekuwa Genge la ujasusi.

Na kwa kuwa wamevimbiwa faida tunayo wapa kwa kutumia mtandao wao.

Na kwa kuwa VODA sasa wanashiriki kumwaga DAMU za wa TZ na kuzitumia kama Minara ya simu.

Ndugu zangu Kila mpenda Amani, Umoja na Haki shiriki kikamilifu kuondoa kampuni ya Voda hewani.

Usidanganyike na Mawakala wao wapuuzi wanao kuja hapa na hoja dhaifu eti hata huko mitandao mingine wanafanya kama VODA kwahiyo hakuna kwa kukimbilia.

Voda tunao uhakika na hata wao wamekiri kushiriki kutenda uovu na unyama kwa raia wema. Ni lazima tuwachukulie hatua stahiki kwa kuwakataa.

Jambazi Akikili kuwa ameua mtu ila alifanya hivyo kwa kuwa aliamliwa na mkuu wa majambazi haina maana kuwa jambazi huyo ni mzuri kwa kuwa kaongea ukweli. Tunawapinga Makaburu Vodacom pamoja na genge lenu lote la uharifu.

Tanzanzania ni kubwa na ya thamani kuliko VODA na genge lake la uhaini. Uhai wa Mtanzania una thamani kuliko Mtandao wa VOda na genge lao la utekaji watu nyara.

Vodacom Sio MAMA yetu, mlitukuta watanzania tukiishi vizuri kwa Amani na Utulivu mkaomba tuwape ruhusa na ninyi mkae na sisi lakini sasa mmegeuka kuwa Janga.

Voda mlitukuta na Mtaondoka na Kutuacha. Sio lazima kutumia mitandao ya kampuni ambayo ni hatari kwa usalama wetu.

Tukiona mitandao yote haina usalama, tutatumia email, watsap call au tutapanda mabasi mpaka eneo husika kupeleka taarifa kama tulivyo kuwa tukiishi kabla ya mitandao ya simu. Uhai unathamani kuliko Simu.
BAI BAI VODA.
 
Yaani hawa voda mimi nimeshindwa kuwaelewa kaabisa wakilala wakiamka wanapandisha vifurushi na ninashindwa kuacha kuitumia kwasababu wakovizuri kwenye upande wa internet. Waseng kabisa Pumba v zao
 
Kwa akili yako unafikiri nani anmuhitaji mwenzie kati ya voda na mtz?

Voda, ndiyo mana mko mnamtetea hapa ili asipigwe chini na mtz, ila ndiyo hivyo watanzania wameshaamua kuwapiga chini
 
Shubamiti zenu Voda kwanzia juzi naweka jero tu ...mambo ya elfu 10 - 50 za net msahau , tunawapa pesa majiz na namadukuzi.... yaaan kukifupi nyie wambea mambo hayawahusu unaingilia sasa mkachukue hela za vocha hukohuko unakopeleka umbea wenu..... Pumbavu
 
Back
Top Bottom