Search results

  1. C

    88 kwa Mbeya Hua Ni Kubwa Kuliko Eid na Krismas, Toka Zamani,

    Fact Toka nimeifahamu Mbeya miaka 25 sasa, sikukuu za 88 zina ushabiki mkubwa kuliko Eid zote, Krismas, na Pasaka yaani weka sikukuu zote unazojua hua haziifikii 88 kwa vibe. Na hii ni kwa Mbeya tu , 88 Mbeya kila mji hupikwa pilau, Nyama na Nyama choma, lodge zote hujaa, Watoto kwa watu...
  2. C

    Kushindwa kudhibiti uimara wa shilingi ni kushindwa kuongoza nchi,

    Madhara ni makubwa, Kwa mfano dollar moja ilikua 2300 lakini 2025 itakua imefika 3000 na zaidi, hii tu ni kuchezewa kwa uchumi wa nchi, Magenge mengi ujue ndio yametamalaki na usimamizi hakuna si kuanzia taasisi za umma hadi zile binafsi, Madhara yake ni mfumuko wa bei ya bidhaa mbalimbali na...
  3. C

    Fikra za Sankara, Magufuli, Nyerere, Malema na Gadafi zaibukia kwa Ibrahim Traore

    Vision of the Vision. Mitazamo chanya juu ya Afrika. Captein Ibrahim Traore Rais wa Burkinafaso au Bukinabe ni kiongozi ambae kajitofautisha sana na viongozi wa kiafrika ambao kazi yao kubwa ni kuzunguka na madege dunia nzima huku wakienda kuombomba fedha wakati kwao wameacha utajiri mkubwa...
  4. C

    Isanga Family: Kaandika wazo la kodi TRA na serikali jifunzeni basi mnatia aibu.

    Naona nisiongeze kitu, lakini hoja kubwa serikali ya Tanzania nchi nyingine magari ya miaka ya mbele yana kodi ndogo ili kuchagiza watu waendeshe magari mapya, kwa Tanzania gari chakavu ndio lina kodi ndogo yaani gari inayochafua mazingira ndio yenye kodi ndogo hapo ndio unawaza viongozi hua...
  5. C

    Unampa mwekezaji Ardhi, Maji, Anga aweze kujipangia chochote anachotaka na usimuulize chochote.

    CCM ni kansa Hivi mnatuona sisi ni wajinga au ikoje? Unatoaje uhuru kwa mwekezaji wa maji yote ya bahari na maziwa makuu, ardhi yote, anga na maeneo anuwai ya kiuchumi na tena hautotakiwa kumuuliza chochote atakachotaka kufanya hutakiwi kuhoji na zaidi wewe uliyempa unatakiwa umsaidie yaani...
  6. C

    Chadema Wanatetea rasilimali, vyama vingine mnajikausha, msipoungwa mkono wala msilaumu.

    Kweli ya leo Chadema wanapambana kwa kile walichojaaliwa kutetea rasilimali za nchi bila ubaguzi, Vyama vingine mmejikausha kama vile hampo endeleeni kukaa kimya ukimya wenu ni jibu kwetu kua mtetezi halisi ni mmoja tu, Kesho msipoungwa mkono wala kupata watu kwenye mikutano yenu mtaanza...
  7. C

    Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

    Pamoja si pamoja, Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari.
  8. C

    Mashabiki wa Simba wana majukumu mawili kila msimu

    Watani wetu, Wao kazi yao kama mashabiki hua wanaifahamu kila msimu, Na majukumu ya mashabiki wa simba ni kama ifuatavyo, 1. Kuishangilia timu yao viwanja mbalimbali 2. Kujitahidi kumbembeleza tajiri asinune au asikate tamaa. Kwa muda huu hamuwaoni hivo ndio wameshaenda kutekeleza jukumu...
  9. C

    Unagawaje mipaka ya nchi kisa uwekezaji wa kipumbavu? Kisa tu umeona mashine kwenye maonesho!

    Kuna watu wajinga haijawahi kutokea. Dawa na mtu mjinga ni kumdharau tu maana mjinga hata ukimuelewesha hawezi kuelewa. Kwa kifupi maji ya bahari kama ya hindi au ziwa kama Tanganyika, Nyasa, Victoria hiyo ni mipaka muhimu na mipaka ambayo hutakiwi kukosea kumpatia mtu aiendeshe kwa asilimia...
  10. C

    Lissu kuitaka Tanganyika ni kosa ila Jussa kuitaka Zanzibar sio kosa?

    Lissu aheshimiwe. Lissu mara zote amekuwa akiipigania Tanganyika irudi na tuwe na muundo mwingine wa muungano, lazima mawazo ya Lissu yaheshimiwe na Lissu kuipigania Tanganyika anawakilisha mawazo ya watu wengi wanaoona nchi yao kupotea kiajabuajabu. Ni muhimu sana Tanganyika irudi ili tuweze...
  11. C

    Kilichoridhiwa ni Mkataba mkuu. Itayofuata ni mikataba midogomidogo ya kazi, wasipotoshe hao matapeli

    Mazungumzo yangu na wale wakuu wazalendo. Mazungumzo yalichukua muda wa masaa mawili na yaliisha kwa kunieleza kichwa cha habari kama kilivyo. Serikali ya Tanzania imeshasaini mkataba mama au mkataba mkuu, na kabla ya kusaini huo mkataba, DG mstaafu Diwani Athmani alitahadharisha sana juu ya...
  12. C

    Kenya, Somalia, Djibouti, Marekani, South Afirca, Yemen wote waliishtaki DP world kwa mikataba ya kitapeli

    Inaumiza sana, Mataifa hayo yote tajwa hapo juu yaliishtaki kampuni ya DP world kwa mikataba ya kitapeli ambayo viongozi wao waliingia nayo kuendesha bandari zao Tanganyika inakwama wapi kukubali mikataba mibovu ambayo mwisho wa siku nchi hizo zilijuta kuingia mikataba na hizo nchi? Amkeni...
  13. C

    Zanzibar Mwekezaji wa Bandari kapewa miaka 5 tu na watareview mkataba, Bara kajifunzeni hata huko

    Inaumiza sana, Mwekezaji wa kuendesha bandari ya Zanzibar kapewa miaka mitano tu ya kuendesha bandari. Mwekezaji huyo kutoka ufaransa ataendesha bandari kwa miaka mitano tu na mkataba utaangaliwa upya kama kafikia malengo ataongezewa muda na kama hajafikia malengo atapewa mwekezaji mwingine...
  14. C

    Vyanzo vyangu Ndani ya serikali, vimenihakikishia mkataba wa bandari ni UTAPELI,

    Simanzi, kilio Ilibidi nitafute baadhi ya viongozi wa ngazi za juu serikalini na kwenye vyombo mbalimbali vinavyoihusu nchi, Kwa sababu naheshimiana nao sana , kamwe sitowataja lakini wamenihakikishia kwa asilimia 100 % kua mkataba wa bandari ni utapeli mkubwa sana unaofanywa na watu wachache...
  15. C

    Wabunge wetu wapendwa wafanye safari chini ya bahari wakajifunze utalii na ile nyambizi

    Elimu haina mwisho. Wabunge wetu ni watu makini na kama walivyoenda kujifunza kule Dubai na wakaja kufanya maamuzi yenye maslahi kwenye uwekezaji wa bandari, tunawaomba wabunge wetu hata 100 wakiongozwa na spika waende na kile chombo cha Ocean Gate chini ya bahari ili walete mrejesho wa meli ya...
  16. C

    Ni Kweli Wakulima watumbaku, hawatolipwa sababu upungufu wa US Dollar Nchini?

    Ni Kweli? Kuwa msimu wa mavuno huu wa 2023, utakuwa mbaya kwa wakulima wa tumbaku nchini kwani kuna upungufu wa dollar za kimarekani nchini Tanzania? Taarifa hiyo inayozunguka ina ukakasi maana mkulima huyu kutokulipwa pesa yake italeta shida maana hatoweza kujiandaa na msimu mwingine wa...
  17. C

    PolePole Alisema wakataeni Wahuni, hamkuelewa nadhani mnaona uhuni wenyewe sasa.

    Humphrey Polepole Aliwahi kusema wakataeni wahuni kwa nguvu zote tena msiwape nafasi naona hamkuelewa, Sasa wahuni ndio hao sasa wanafanya uhuni kila leo ndani ya nchi. Ili kuiponya nchi ni kuwakataa hawa wahuni wa mikataba mibovu ya kikoloni na iliopitwa na wakati na haifai hata kidogo...
  18. C

    Tuipinge DP world na Tuipinge serikali haitufai kutuongoza, wanatuletea utoto wa kishamba.

    Wapingwe kwa nguvu zote, Mikataba hii ni wajinga tu ndio wataikubali lakini watu weledi hawawezi kuikubali mikataba ya namna hiyo kamwe, Kwa nguvu zote hoja tulishamaliza kutoa tena hoja za msingi kabisa, Sasa ni muda wa kusimama na kuipinga serikali kwa ujumla wake. Serikali hii imeshindwa...
  19. C

    DP world ajira zitaongezeka sana hadi 28000, Baadae unaambiwa DP world wao mitambo tu haitaki watu wengi!

    Za kuambiwa changanya na zako Mtu mzima unaambiwa DP world wakishika bandari ajira zitaongezeka maradufu na kua nyingi zaidi na zitafika hadi ajira 28000, hapo unapiga makofi na kushangilia. Muda huo huo unaambiwa DP world wataleta mitambo kabambe na bandarini hata msichana mdogo atashusha...
  20. C

    Bashe aungwe mkono, kwa hili apongezwe. Biashara holela hapana Tanzania

    Uwe Mkulima au Usiwe Mkulima. Fahamu hapa kua lazima kama ni biashara ufuate utaratibu mahsusi ili ufanye biashara, Haiwezekani malori yatoke Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya yaingie hadi mashambani, wanunue mazao yote halafu baadae vyakula vipande watu waanze kulia haiwezekani. Hakuna usalama wa...
Back
Top Bottom