YAH:KUKANUSHA UZUSHI WA MITANDAONI DHIDI YA BERNARD MEMBE(BM).
Ndugu watanzania wa ndani na nje ya nchi,tunapenda kukanusha kwa nguvu zote uzushi unaonea kwenye mitandao mbalimbali kuwa kiongozi mwandamizi wa Ccm ndugu Bernard Membe ataongea na vyombo vya habari siku ya leo saa kumi jioni...
Mahanga kumfuata Lowassa.
Mbunge wa jimbo la Segerea Dk.Mahanga kukatwa na Cc hata kama akishinda kura za maoni kutokana na utovu wa nidhamu alioonesha Dodoma wakati wa kura za maoni za kumpata mrithi wa Rais Jk.
Dk.Mahanga anayesifika kwa rushwa,uzinzi na ulevi hali yake kisiasa ni mbaya...
Habari wana jamvi,
hapo mwanzo ilikua ni kitu kipya kuona serikali ikishindwa kuyatolea ufafanuzi masuala fulani yaliyojitokeza hapa nchini hadi kuitwa dhaifu.
Leo hii hadi taasisi zake zimefuata huo utaratibu au mfumo usio rasmi. Inashangaza sana kwa taasisi tena za elimu ya juu TCU/NACTE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.