Na yeye kishaingia kwenye mkumbo? kweli system haikwepeki, alikuwa msafi huyu jamaa...
Watamvua na huo ukuu wa wilaya..............................maana hawana maana hata kidogo.
Taarifa kutoka ndani ya semina hiyo ya siku tatu zinadai kuwa Rais Kikwete alisema anakubaliana na mawazo ya wabunge kwamba fedha hizo ni nyingi sana, huku akitamka bayana kwamba hilo ni, "suala linalomuumiza sana ."
Lakini, duru za ndani zaidi kutoka kikao hicho zilisema wabunge wengi wa CCM wakiongozwa na Waziri wa Afrika Mashariki Samuel Sitta na Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe, ambao kitaaluma ni wanasheria ndiyo walibadili upepo wa kisiasa ndani ya kikao hicho.
Hawa ni viongozi ambao wenye utashi na ujasiri mkubwa sana.......................They are leaders to watch in future..........................very promising and highly potential to lead this nation out of this abyss................Miongoni mwa wabunge waliochangia mada hiyo mbele ya Rais Kikwete na Waziri Mkuu, Pinda aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao hicho ni Waziri Sitta, , Dk Mwakyembe na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka.
Na wewe mbona umeshindwa kumuelewa? Yeye anashangazwa na uamuzi wa CC na kwa hakika anashangaa kama CC anayoijua yeye inaweza ikaamua hivyo ilivyoamua. Sasa kwa kauli hiyo usafi wake umeondokaje?
Na yeye kishaingia kwenye mkumbo? kweli system haikwepeki, alikuwa msafi huyu jamaa...