Habarini wakuu..
Kwa mwenye uelewa juu ya hiyo kitu naomba msaada tafadhari..
- ina-cover nini(coverage yake chuon au curriculum yake)
- soko lake la ajira tz likoje
-vip kuhusu uhusiano wa technology yetu na coz hii(does it have conducive environment in tz?)
Please say something..!!
Shukran
Habari zenu wakuu....kwa anaeweza kunisaidia ili kujua ni wapi naweza kupata waya wa material ya "zinc". Nimejaribu kuulizia kwenye maduka ya vifaa vya umeme lakini sijafanikiwa na wauzaji wengine hata hawajawahi kuusikia...kwa yeyote anaefahamu tafadhari....
Wadau nahitaji msaada jinsi ya ku-adjust mwanga wa pc (dell latitude 620 natumia window 7)....nimejaribu Fn + arrow keys na pia settings za rangi lkn hakun mabdliko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.