Search results

  1. N

    kwa nini matokeo ya shule za private zinafaulisha zaidi kuliko za goverment?

    Hata za serikali zinaweza kuwa nzuri kuzidi za private, kwa kuwa za Serikali zinachangiwa na kila mtu kwa kodi
  2. N

    Students from Kenya perform better in Kiswahili than those from Tanzania

    Not only in Kiswahili, read the full report where East Africa culled their story. Here isthe link Are our Children Learning: Numeracy and Literacy Across East Africa 2011? :: Our publications :: Media :: Twaweza.org
  3. N

    Ripoti Mpya: Wanafunzi wa Tanzania hawajui kusoma Kiswahili?

    Hisabati kwa watoto wa shule za msingi Afrika Mashariki. Ni ajabu kuwa majirani zetu Kenya watoto wao wanawashinda wa hapa kwetu hata kwenye zoezi dogo la Kiswahili! Ni kweli ripoti inaonesha nchi zote tatu bado zinafanya vibaya ukilinganisha na malengo ya mitaala yao.Hali ni mbaya katika...
  4. N

    Kuna haja gani ya kuendelea kufanya kaguzi za Serikali za mitaa iwapo matokeo yanawekwa bench?

    Kila mwaka Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa Serikali anafanya ukaguzi na kutoa taarifa za kitaalamu. Matokeo yake ni ya wazi, na maoni yake ya kitaalamu kuhusu namna ya kurekebisha upotevu ama matumizi mabaya ya fedha za Serikali huwa ni lulu. Mara nyingi huwa yanafanya habari kubwa kubwa kwenye...
  5. N

    Hamad rashidi na mtatiro watofautiana juu ya mswada wa mchakato wa katiba

    Tukiweka tofauti za hawa personalities pembeni, binafsi sioni kama tayari document iliyoandaliwa na kuitwa rasimu ya katiba mpya imekidhi matakwa hayo. simaanishi kuikosoa kwa kila kipengele. Namaanisha kuwa elites have done it again, their way for their interests. Kwa wananchi walio nje ya...
  6. N

    Je, serikali ina nia ya kuboresha kiwango cha elimu, bila kutoa pesa kama inavyoahidi?

    Kwa mujibu wa makubaliano kati ya Serikali na Benki ya Dunia ambayo inafadhili awamu ya pili ya mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari serikali (SEDP II) iliahidi kufikisha kwenye kila shule ya sekondari nchini Tanzania Tsh 10,000/- kama ruzuku ya kuboresha mazingira ya kusomea ifikipo mwisho...
Back
Top Bottom