Wakuu habari Zenu ?
Poleni na kazi ila Hongereni na Komaeni Maana ndo Wajibu Wenu
Samahani naomba msaada wa Mawasiliano na Mahali walipo Agents wa Kampuni ya Usafirishaji Mizigo ya DHL, Kwa Upande wa Dar es Salaam.
Pia naomba kujua na kupata Mawasiliano na Mahali walipo Agents wa kampuni...
Salama wakuu katika jukwaa hili
Nina shida na Tv ya Inchi 32 kama kuna MTU ana tawi Kwa Mwanza na Musoma tafadhali
Anicheki Kwa
0767258286 WhatsApp
0789258286
Wakubwa salamu zenu kwanza.
Naomba kuuliza Ni Kweli Leo Tarehe 05/May 2016, Ndo ilikua mwisho wa kutuma Maombi .
Naomba yule mwenye ufahamu zaidi aje hapa na maelezo please.
Natanguliza shukrani
Ndugu Zangu, katika Kuhangaika kwangu kwenye Maisha kupitia kusoma na kufanya kazi ndogo ndogo.
Mimi huwa napata Pingamizi kubwa Sana kutoka kwa Ndugu Hasa yule ambae watu wanamuamini na kumpa kipaumbele ndugu hyo Ana uwezo mkubwa kifedha na kasoma lakini nje na hayo Ana dharau Sana na...
Naomba wahusika tafadhali waliangalie hili Nina ndugu yangu( Babu yangu), Ni mlipaji mzuri Sana WA Gharama zote za umeme Yan service charges na Ununuzi WA Luku. Sasa jambo la kusikitisha na kushangaza hakuna Deni lolote lile analodaiwa lakini Leo kafatilia baada ya kuwa akijaribu kununua umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.