Ogopa sana uadui wa ukoo au familia

Ing'ang'a

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
1,866
1,279
Ndugu Zangu, katika Kuhangaika kwangu kwenye Maisha kupitia kusoma na kufanya kazi ndogo ndogo.

Mimi huwa napata Pingamizi kubwa Sana kutoka kwa Ndugu Hasa yule ambae watu wanamuamini na kumpa kipaumbele ndugu hyo Ana uwezo mkubwa kifedha na kasoma lakini nje na hayo Ana dharau Sana na kujitukuza yeye pamoja na familia yake kuanzia watoto mpaka Mbwa wake basi Mimi huwa kitu cha mtu akinipi shida.

Namsikiliza wee na kuendelea na kufanya mambo yangu ya kijinga jinga kimya kimya bila kujibu kitu Kwan siku zote ninpomkosea mtu huwa namuomba msamaha tena Katika hali ya Unyonge kwa kujutia Sana kama yule kakazika kweli Pia Huwa sipendi kuonewa kirahisi rahisi labda itegemee hali husika hapo naweza kujifanya mjinga .

Haaa Haaa Nawapenda Sana watu WA kabila langu kutoka Kule Musoma kijijini Wanapenda kutukuzwa Sana, kisa Tu ukoo au Familia nzima Ni Maskini au hawajasoma na yeye ndo kawapita Kila kitu Mungu Baba Bariki hata sisi wajinga na Maskini Tupate Kile wenzentu walicho nacho ili kupunguza Matusi na kero kwa wale wenye Misaada.

Ahsanteni Sana na Karibuni Majita kwetu.

ila Samahani jamani kama Kuna mtu ntakua Nimemkwaza Anisamehe.
 
Tuishukuru JF angalau watu kama wewe wanapata pa kupumulia ili kuondoa makokwa ya moyo. JF ni tiba.
No Mkuu JF sio Tiba Tu ila unaweza sema ni zaidi ya Darasa Maana Mimi na kajiwe kangu Sioni ndani napata mengi Sana na makubwa kutoka humu nimekua Teja Wa JF lazima kwa siku niingie Nipate Kupanua Bongo yangu kupitia JF kiukweli JF Haikamatiki ukilinganisha na Social networkings Nyingine.
 
No Mkuu JF sio Tiba Tu ila unaweza sema ni zaidi ya Darasa Maana Mimi na kajiwe kangu Sioni ndani napata mengi Sana na makubwa kutoka humu nimekua Teja Wa JF lazima kwa siku niingie Nipate Kupanua Bongo yangu kupitia JF kiukweli JF Haikamatiki ukilinganisha na Social networkings Nyingine.
Wacha kabisa aisee. Baada ya muda wa kazi, nusu ya muda unaobaki au zaidi nautumia humu kusoma tu mambo mbalimbali.Long live JF.
 
Ndugu Zangu, katika Kuhangaika kwangu kwenye Maisha kupitia kusoma na kufanya kazi ndogo ndogo.

Mimi huwa napata Pingamizi kubwa Sana kutoka kwa Ndugu Hasa yule ambae watu wanamuamini na kumpa kipaumbele ndugu hyo Ana uwezo mkubwa kifedha na kasoma lakini nje na hayo Ana dharau Sana na kujitukuza yeye pamoja na familia yake kuanzia watoto mpaka Mbwa wake basi Mimi huwa kitu cha mtu akinipi shida.

Namsikiliza wee na kuendelea na kufanya mambo yangu ya kijinga jinga kimya kimya bila kujibu kitu Kwan siku zote ninpomkosea mtu huwa namuomba msamaha tena Katika hali ya Unyonge kwa kujutia Sana kama yule kakazika kweli Pia Huwa sipendi kuonewa kirahisi rahisi labda itegemee hali husika hapo naweza kujifanya mjinga .

Haaa Haaa Nawapenda Sana watu WA kabila langu kutoka Kule Musoma kijijini Wanapenda kutukuzwa Sana, kisa Tu ukoo au Familia nzima Ni Maskini au hawajasoma na yeye ndo kawapita Kila kitu Mungu Baba Bariki hata sisi wajinga na Maskini Tupate Kile wenzentu walicho nacho ili kupunguza Matusi na kero kwa wale wenye Misaada.

Ahsanteni Sana na Karibuni Majita kwetu.

ila Samahani jamani kama Kuna mtu ntakua Nimemkwaza Anisamehe.

KAMWAMBIE ANA KWA ANA, ACHA UMBEA
 
Watu wa Musoma waliosoma hadi nje ya nchi haswa UK huwa wanadharau sana.... no most of all hupoteza Marafiki wakarimu... Ujinga wao wakiona wamekuzidi elimu hata kidogo dharau bwerere.... wakati ni ujinga wakikwama huwa wapole kama maji mtungini hawatambui kila mtu ana nafasi yake.... lazima umuangukie tu... hata kama hana kitu
 
Watu wa Musoma waliosoma hadi nje ya nchi haswa UK huwa wanadharau sana.... no most of all hupoteza Marafiki wakarimu... Ujinga wao wakiona wamekuzidi elimu hata kidogo dharau bwerere.... wakati ni ujinga wakikwama huwa wapole kama maji mtungini hawatambui kila mtu ana nafasi yake.... lazima umuangukie tu... hata kama hana kitu
Nikiendelea kuandika huenda nkakosea tena BASI.
 
Tatizo lako unajidharau we mwenyewe... Dunia haina huruma ndugu yangu.. Kuna siku unaweza kudhani kwamba dunia inakuonea na ukabaki hivo mpaka siku ya kufa. Nnachoamini mimi ni kwamba unapohisi kuonewa na wewe pambana... "don't give shit and meanwhile don't accept shit" :cool::cool:
 
Tatizo lako unajidharau we mwenyewe... Dunia haina huruma ndugu yangu.. Kuna siku unaweza kudhani kwamba dunia inakuonea na ukabaki hivo mpaka siku ya kufa. Nnachoamini mimi ni kwamba unapohisi kuonewa na wewe pambana... "don't give shit and meanwhile don't accept shit" :cool::cool:
Thanks.
 
Piga kazi kwa bidii ndo msingi wa mafanikioa ili nawe uthaminiwe hapo kwenu hata ukishuka stendi watu waje kukupokea , naamini hata huyo aliyefanikiwa amesoma kwa bidii na kutia juhudi katika masomo. japo inauma sana mwenzako kuthaminiwa
 
Piga kazi kwa bidii ndo msingi wa mafanikioa ili nawe uthaminiwe hapo kwenu hata ukishuka stendi watu waje kukupokea , naamini hata huyo aliyefanikiwa amesoma kwa bidii na kutia juhudi katika masomo. japo inauma sana mwenzako kuthaminiwa
Sawa Mkuu Wacha Nikomae Tata.
 
Ndugu Zangu, katika Kuhangaika kwangu kwenye Maisha kupitia kusoma na kufanya kazi ndogo ndogo.

Mimi huwa napata Pingamizi kubwa Sana kutoka kwa Ndugu Hasa yule ambae watu wanamuamini na kumpa kipaumbele ndugu hyo Ana uwezo mkubwa kifedha na kasoma lakini nje na hayo Ana dharau Sana na kujitukuza yeye pamoja na familia yake kuanzia watoto mpaka Mbwa wake basi Mimi huwa kitu cha mtu akinipi shida.

Namsikiliza wee na kuendelea na kufanya mambo yangu ya kijinga jinga kimya kimya bila kujibu kitu Kwan siku zote ninpomkosea mtu huwa namuomba msamaha tena Katika hali ya Unyonge kwa kujutia Sana kama yule kakazika kweli Pia Huwa sipendi kuonewa kirahisi rahisi labda itegemee hali husika hapo naweza kujifanya mjinga .

Haaa Haaa Nawapenda Sana watu WA kabila langu kutoka Kule Musoma kijijini Wanapenda kutukuzwa Sana, kisa Tu ukoo au Familia nzima Ni Maskini au hawajasoma na yeye ndo kawapita Kila kitu Mungu Baba Bariki hata sisi wajinga na Maskini Tupate Kile wenzentu walicho nacho ili kupunguza Matusi na kero kwa wale wenye Misaada.

Ahsanteni Sana na Karibuni Majita kwetu.

ila Samahani jamani kama Kuna mtu ntakua Nimemkwaza Anisamehe.
WATU MNA MATATIZO SANA VICHWANI.
 
Ndugu Zangu, katika Kuhangaika kwangu kwenye Maisha kupitia kusoma na kufanya kazi ndogo ndogo.

Mimi huwa napata Pingamizi kubwa Sana kutoka kwa Ndugu Hasa yule ambae watu wanamuamini na kumpa kipaumbele ndugu hyo Ana uwezo mkubwa kifedha na kasoma lakini nje na hayo Ana dharau Sana na kujitukuza yeye pamoja na familia yake kuanzia watoto mpaka Mbwa wake basi Mimi huwa kitu cha mtu akinipi shida.

Namsikiliza wee na kuendelea na kufanya mambo yangu ya kijinga jinga kimya kimya bila kujibu kitu Kwan siku zote ninpomkosea mtu huwa namuomba msamaha tena Katika hali ya Unyonge kwa kujutia Sana kama yule kakazika kweli Pia Huwa sipendi kuonewa kirahisi rahisi labda itegemee hali husika hapo naweza kujifanya mjinga .

Haaa Haaa Nawapenda Sana watu WA kabila langu kutoka Kule Musoma kijijini Wanapenda kutukuzwa Sana, kisa Tu ukoo au Familia nzima Ni Maskini au hawajasoma na yeye ndo kawapita Kila kitu Mungu Baba Bariki hata sisi wajinga na Maskini Tupate Kile wenzentu walicho nacho ili kupunguza Matusi na kero kwa wale wenye Misaada.

Ahsanteni Sana na Karibuni Majita kwetu.

ila Samahani jamani kama Kuna mtu ntakua Nimemkwaza Anisamehe.


sasa umeandika nini; ndo maana unadharaulika kwa sababu ya ujinga wako hata wa kuandika
 
No Mkuu JF sio Tiba Tu ila unaweza sema ni zaidi ya Darasa Maana Mimi na kajiwe kangu Sioni ndani napata mengi Sana na makubwa kutoka humu nimekua Teja Wa JF lazima kwa siku niingie Nipate Kupanua Bongo yangu kupitia JF kiukweli JF Haikamatiki ukilinganisha na Social networkings Nyingine.
Kweli kabisa mkuu,mimi ninaipenda JF.
 
Watu wa Musoma waliosoma hadi nje ya nchi haswa UK huwa wanadharau sana.... no most of all hupoteza Marafiki wakarimu... Ujinga wao wakiona wamekuzidi elimu hata kidogo dharau bwerere.... wakati ni ujinga wakikwama huwa wapole kama maji mtungini hawatambui kila mtu ana nafasi yake.... lazima umuangukie tu... hata kama hana kitu
Upo sahihi mkuu,kuna njemba ya huko ninaishi nayo mtaa mmoja basi inapenda kila inachosema hata km ni kibaya wewe ukubaliane nacho,halafu ni full dharau na kujiona.
 
Back
Top Bottom