Its simple kama interest ni ndogo hakuna mwekezaji au mabenki watakaoleta fedha zao apa kufany biashara ili wapate faida maana interest ni ndogo,,,,, watakimbiza ela zao kwenye nchi ambazo intarest ni kubwa.
Ni kweli,,,,kama nchi tunatakiwa tuwe na mwelekeo wa kitaifa,,,,iii ata aje nani inakuwa ngumu kubadilisha zaidi atakachoweza ni kuboresha na kufanya malengo ya kitaifa yaende kwa kasi,,,,, hatuwezi tukawa tunabadilika badilika kila siku,,,,,, kilimo kwanza saivi kwisha abari yake,,, nguvu zote...
China kuwa na viwanda vidog vidog vingi na watu kuwa wabunifu imetokana na udhoefu walioupata kwenye viwanda vingi vikubwa vilivyofunguliwa china .... baada ya mda automatically watu waka adapt.
Tanzania bado tuko nyuma sana katika mambo ya muhimu kama elimu,afya na technologia... kuweka nguvu nyingi kuhamasisha nchi ya viwanda naisi si wakati sahihi kufanya ilo,,,, bado tunatakiwa kuimarisha elimu, sekta ya afya na kukuza nchi katika technologia na ubunifu apo tutakuwa kwenye nafasi...
Nenda kasome weka bidii sana hasa kwenye physics.... Nakumbuka physics tulikuwa tunafundiswa swali kabla ya paper kama wiki kadhaa kabla na ilo ilo linaletwa kwenye paper lakini bado unatoka kapa... Apo ndo nilipoona physics inaitaji kurudia kusoma mara kwa mara...mambo ni mengi but ukijipanga...
Natafuta mtu wa kushare naye office...maeneo ya survey ESAP,opposite mlimani city Villa's..kodi ni laki sita including services....kwaiyo tunagawana nusu......anyone interested send me a private sms.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.