Kama Gwaji boy. alichomoka kwenye ule msala.. hata huu TD jakes ana chomoa mapema kabisa ...
hawa viongozi wa dini wana wafuasi wao ... hata waambiwe nini huwa chomoi.
PS: Uzi una sema alitembea na muumini wake ambaye ni Mwanamke. ila comments zina muhusisha na mambo ya kina P.Didy
Nadhani Tushukuru Mungu, Hakuna madhara kwa binadamu.... Shule ya Generation ime funikwa.. ila leo jpili hakukuwa na wana funzi. Wanafunzi wa Mary's waliopo Bwenin wame ondolewa.
We Mp.mbavu jaribu kuficha Upum.bavu wako .
kumbe haupo Mbeya..?
yaani jiji liwe la kipumbavu sababu ya mijitu ya huko?! we upo wapi?!
Nani kakudanganya Mbeya jiji kuna ujenzi wa barabara Nne una endelea.?!
Kumbuka Mbalizi siyo Mbeya Jiji.
Kama Tangazo linavyo jieleza..
Shime wakatoliki Tujitikeze kwa wingi kama mahujaji ..
Tukiwa tume toka kuupiga mwingi kwa kuchangia Mavuno kwa zaidi ya Tsh Bilion 4.. sasa tujipige mifukoni kwa zaidi ya milion 7 kila mmoja
Tuka msikilize Baba Mtakatifu.
Tukaone masalia matakatifu.
Tukaone...
CHADEMA nashauri muachane na hao wanawake.. chukueni ushauri wa Bwege " mi nilijua, hii kesi hatutoboi" kwa sababu serikali ipo pamoja na upande wa pili . wana backup wale...
rejea mifano ya kesi hizi, serikali ya chama cha kijani ilipo husika, na jinsi maamuzi ya kushangaza yaliyotolewa
1...
Acha kusingizia watu..
Binafsi sikubalini na imani ya huyu mzee ...
ila kumzushia mtu aliye fiwa siyo ustaarabu wa mtanzania
kwamba mzee wa Ngurumo alewe siku ya Msiba?
Ukweli ni kwamba, Haupo Arusha, haupo msibani na hakuna picha yoyote utakayo tuma..
We ume elewa vizuri mkuu....
Lengo la mtoa mada ni ku appreciate "ndugu zetu wa upande ule". kwamba wao pesa siyo kipaumbele..
hata hivyo sija wataja.. pengine nili maanisha akina Yeriko Nyerere waabudu mizimu..
Hongera wana Jimbo, hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu, na ni kwa jimbo moja tu.
Ukijumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano:
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
Kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.