Hapa kwetu kwanza jamaa angekutana na vikwazo vizito kutoka EWURA,TBS,sijui Encironmental Impact Assessment,OSHA na ungese ungese mwiingi kutoka kwa maajent wa ccm.
Habari wadau,
Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare.
Ahsante.
Habari wakuu,
Nahitaji kwenda kusoma nchini Marekani katika kozi za Afya especially nursing, nategemea kujigharamia mwenyewe gharama zote mpaka kumaliza masomo.
Naomba kupewa taarifa na wazoefu, ni vyuo gani vinavyotoa kozi za afya kwa muda mfupi,mfano miaka 2?
Na je gharama na taratibu za...
Kata na ondoa kabosa miti ya mi passion,hiyo kwa nyoka ndo yenyewe.Pia choma tairi,ile harufu ya carbon hukimbisa nyoka,kuhusu wadudu wengine jaribu kufanya fumigation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.