Search results

  1. S

    Waziri Ummy Mwalimu afanya ziara ya kushtukiza Mloganzila

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuwa na imani na huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila. Waziri Ummy ameyasema hayo leo mara baada ya kufanya ziara hospitalini hapa kwa lengo la kufahamu...
  2. S

    Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA. Dar es Salaam. 06 Januari, 2020 Kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Jamii Forum ambazo bila kuchanganua zinatuhumu kwamba...
  3. S

    Karibuni Tamasha la kimataifa la 33 la sanaa na utamaduni Bagamoyo

    Tamasha hili litahusisha vikundi vya nndani vya Tanzania,jumla ya vikundi 136 vimethibitisha kushiriki vikiwemo vikundi 5 kutoka nje ya nchi vikundi hvyo ni kutoka norway,german,kenya na bbrazil Tamasha hili ambalo hufanyika kila mwaka huandaliwa na taasisi ya sanaa ns utamaduni...
  4. S

    Kwa wakazi na wenyeji wa Bagamoyo

    Habari wadau, Natafuta nyumba ya kupanga bagamoyo mjini maeneo ya sanaa au jiran na hapo,natafua nyumba yenye chumba kimoja,siting room na choo cha kujitegema dau langu ni kati ya 100000 na 120000 msaada tafadhali
  5. S

    Toyota Starlet

    Nauza Toyota starlet just imported from Japan,haijasajiliwa bado Engine ipo safi sana,bei ni Mil 7.5 maongezi yapo kidogo,serious buyer aniPM for more details
  6. S

    Ultra sound scan

    Naombeni ushauri wa kitabibu wanajamvi.ndg yangu ni mjamzito ana wiki 34 sasa kwa mahesabu yake.lkn kipimo cha ultra sound kinaonesha ana wiki 37.sasa anashindwa aamini kipimo au hayo mahesabu yake ili iwe basis ya yy kuomba Likizo ya uzazi.
  7. S

    Likizo ya mwaka na likizo ya uzazi

    Naombeni mnisaidie wanajf, hivi mtu ukiomba likizo ya uzazi maana yake umepoteza kabisa haki yako ya likizo ya mwaka na stahiki zake? Sheria inasemaje kuhusu hili?
Back
Top Bottom