Bulldog you are right ukipitia maandishi ya SHIV KHERA;
YOU CAN WIN
Winners don't do different things.
They do things Differently.
A STEP BY STEP TOOL FOR TOP ACHIEVERS ameeleza vizuri sana juu ya elimu hiki ni kijisehemu tu cha kipande cha andishi hilo:
Get into a Continuous Education...
..........mtu asiyeweza kufikiri vema huyo amepewa ubongo kwa bahati mbaya kwani kwake uti wa mgongo ungemtosha na hata sisi tunaosoma uzi huu yatupasa kufikiri.
kwahiyo kuwakilisha mawazo ya watanzania ni walevi..Huwezi watukana wa tz hizo ndio dharau mlizozoea......na kawaida yenu "chama kina wenyewe" wewe kwenye orodha umo?usishabikie vitu ambavyo havina maslahi mapana kwa wananchi.use your brain not your spinal cord because the spinal cord is for a...
Hata Anti-Chadema Tanzania aka ACT wameanza kufanya mikutano nchi nzima je ni dhambi na je hali itabadilika?India na South Africa na nchi nyingine zimefika hapo leo kwa sababu ya maandamano.Ok turudi kwenye msingi.UKAWA wanachotaka ni commitment ya ndugu zenu CCM kuwa kitakachojadiliwa ni kile...
Hitler was not a Christian as long as I know what Christianity is,so do Boko Haram are not muslims as far as Islamic doctrine is.They only bear Christianity and Islamic names and after all what is in the name,but what is in the heart matters alot.
Mmenikumbusha mbali sana nilimaliza hapo 1987 na Aden Nzali,Amani Mgonja,David Luvinga,Hadhrat Hussein,Harold Kakuyu(RIP my best friend),Brian Samuel,Graceana Mgeni,Ulanga Jumanne,Sophia Karuma,Emmanuela Lusinde,Audrey Seme(RIP my sister),Brutus Hyera(RIP my best Bruto),Ramadhani Ali...
Unaweza ukawaona ni vijana kumbe kichwani hamna kitu sasa hivi cha kufurahisha kuna wazee wa hadi miaka 70 lakini wanachambua mambo kuwazidi hao vijana wako what matters is what you carry in your head maana wengine wasio fikiri hata huo ubongo wamepewa kwa makosa uti wa mgongo ungewatosha...
BTW: Hivi hao waliotundika Bendera ya Taifa namna hiyo tena Ikulu zimo kweli? Hivi hiyo ni Bendera ya nchi gani?
Nchi imechoka inasinzia na kama si kulala kabisa kazi ipo diplomasia za aina hii labda kuzimu
Ha ha ha Hata Sumaye hakuwa na degree leo ana degree mizengwe miiingi.Ok fine na hao maprofesa waliojazana serikalini pamoja na elimu yao kuingia mikataba mibovu na ya kinyonyaji elimu yao inatusaidia nini sisi, mikataba mingine hata darasa la saba hawezi kuingia sembuse hao tunaowaita wamebobea...
Naifahamu sana historia ya wana Iringa waweza kuwaona kama wakimya na wapole sana lakini huwa na ajenda zisizotabirika.1995 Mzee wetu Nyerere alikuja kupiga kampeni lakini bado Iringa,Mbeya Musoma etc yakawa majimbo ya kwanza kuchukuliwa na wapinzani uliporudi mfumo wa vyama...
Bill Clinton was born and his given name was William Jefferson Blythe IV.He never knew his father William Jefferson Blythe III.Bill took the name William Jefferson Clinton after his mother remarried Roger Clinton.Kwa hiyo alitumia jina baba wa kambo Clinton badala ya Blythe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.